Ryzen
JF-Expert Member
- Dec 6, 2012
- 7,305
- 8,655
Waheshimiwa habari za usiku!
Ee bwana nina shida kidogo embu nisaidieni kuniweka wazi...
Kuna binti mmoja nina uhusiano nae kama mwaka hivi sasa katika mwanzo wa uhusiano wetu kama tuliapiana ile kwa maneno tu kwamba na kuahidi/apa kwa sintokuacha na ni kila mmoja alifanya hivo.
Sasa kiukweli mimi kwa sasa nipo bize sana na as you know as long as you are busy mapenzi nayo hupungua kwa kiasi flani, sasa huyu dada kila saa anapoona sipo responsive saana (japo kweli nina mpango huo wa kumuacha) amekuwa ananikumbusha kwamba kumbuka kiapo chetu.
Sasa im honestly asking je nikivunja huu uhusiano kuna shida na hii ishu ya kiapo cha mapenzi ni kitu real au myth tu?
Ee bwana nina shida kidogo embu nisaidieni kuniweka wazi...
Kuna binti mmoja nina uhusiano nae kama mwaka hivi sasa katika mwanzo wa uhusiano wetu kama tuliapiana ile kwa maneno tu kwamba na kuahidi/apa kwa sintokuacha na ni kila mmoja alifanya hivo.
Sasa kiukweli mimi kwa sasa nipo bize sana na as you know as long as you are busy mapenzi nayo hupungua kwa kiasi flani, sasa huyu dada kila saa anapoona sipo responsive saana (japo kweli nina mpango huo wa kumuacha) amekuwa ananikumbusha kwamba kumbuka kiapo chetu.
Sasa im honestly asking je nikivunja huu uhusiano kuna shida na hii ishu ya kiapo cha mapenzi ni kitu real au myth tu?