Hivi vazi la ndani (chupi) lina umuhimu gani kiafya?

mwanamke asiyevaa chupi ni sawa na mlango wa nyumba usiofungwa kwa kufuri wala kitasa, Chupi kwa mwanamke ni ishara ya staha na kujithamini kwake,
mwanamke asiyevaa chupi ana ashiria tabia fulani hivi mbovu.

Jiulize unakutana na manzi kwenye ulingo halafu anatoa sketi au suruali ghafla anabaki uchi bila kuona chupi......( I think yo' we be disappointed indeed)
 
Kwa Kwel Nina muda mrefu Huwa hili vazi la ndani pendwa kufuli niliiacha kuvaa, maana nilikuwa naona joto na Huwa Sipendelei hasa kuvaa mavazi yanayobana mwili. Nikiwaeleza wenzangu Huwa wananishangaa Eti Kwanini sivai, nikiwaomba waniambie faida kwakwel zinakuwa porojo tu. Wadau Kama kuna anayejua faida zozote zinazopatikana kiafya kuvaa vazi hili naomba nielimishwe Ili niaze kulivaa rasmi kuazia sasa.

Wasalaam
Beef Lasagna
 
Kwa Kwel Nina muda mrefu Huwa hili vazi la ndani pendwa kufuli niliiacha kuvaa, maana nilikuwa naona joto na Huwa Sipendelei hasa kuvaa mavazi yanayobana mwili. Nikiwaeleza wenzangu Huwa wananishangaa Eti Kwanini sivai, nikiwaomba waniambie faida kwakwel zinakuwa porojo tu. Wadau Kama kuna anayejua faida zozote zinazopatikana kiafya kuvaa vazi hili naomba nielimishwe Ili niaze kulivaa rasmi kuazia sasa.

Wasalaam
Beef Lasagna
Wewe unitafute 0718496...
 
mwanamke asiyevaa chupi ni sawa na mlango wa nyumba usiofungwa kwa kufuri wala kitasa, Chupi kwa mwanamke ni ishara ya staha na kujithamini kwake,
mwanamke asiyevaa chupi ana ashiria tabia fulani hivi mbovu.

Jiulize unakutana na manzi kwenye ulingo halafu anatoa sketi au suruali ghafla anabaki uchi bila kuona chupi......( I think yo' we be disappointed indeed)
Najistri vizur tu. Tatizo ni hilo
 
Haaa haaa haaa
nadhani chanzo cha chupi seehemu ya wazungu kututawala!kwani walikuja na mbinu ya kutuaminisha kuwa kila kitu chetu tukiite ni cha kishenzi!Ili waweze kututawala vizuri na kweli wamefanikiwa kwani baada ya kuacha zile za kwetu na kudumu na za kwao,imefika hatuzijui tena zile za kwetu!sasa hapo wamefanikiwa kutukamata vizuri kwani kupitia tu hizi za kwao wanatu control wanavyotaka.
Mfano:kuna makabila sasa hivi hawana na hawajui vazi lao la asili kabla ya wazungu kutuletea ya kwao!
Makabila ya kiafrika ya kifugaji wengi hawavai chupi si wanawake si wanaume,na si rahisi kusikia magonjwa mfano UTI n.k yanayochangiwa na joto jingi kwenye sehemu za siri!
 
Vazi la chupi ni vazi tata, ukivaa hakionekani na kikionekana hao wanaokiona wanasema uko uchi na usipovaa hakuna anaejua kama haujavaa.

Chupi ni Rubbish.
 
Binadamu WA kwanza kuvaa chupi ni mwnaume kwaajili ya kuzuia Dickson yake isidinde mwanamke akafata hasa sijui kwa ajili ya nini anavas
 
I love the feeling of my d*ck and balls dangling inside my pants....no under pants no worries!
 
Back
Top Bottom