Hivi ushawahi kujiuliza hili??

Hivi ushawahi kujiuliza hili??

Kwa nijuavyo mimi, hao uliowataja hawakuwa mitume wala manabii. mitume walikua akina Petro, Paulo, Yohane, etc, na manabii mfano Elia na Elisha, kasome tena biblia yako utagundua.
 
Zakaria baba wa Yohana Mbatizaji alikuwa kabla ya kipindi cha Yesu, kwa sababu pia Yohana was older to Jesus.
By only six months, Maria alipokwenda kumtembelea binamu yake Elizabeth wote wawili walikuwa wajawazito na Yohana Mbatizaji akiwa tumboni mwa mama yake alicheza kama ishara ya kutambua kuwa Yesu ni mkubwa mno kwake.
 
By only six months, Maria alipokwenda kumtembelea binamu yake Elizabeth wote wawili walikuwa wajawazito na Yohana Mbatizaji akiwa tumboni mwa mama yake alicheza kama ishara ya kutambua kuwa Yesu ni mkubwa mno kwake.

Na Zakaria na mke walikuwa ni oldies already, point yangu ni kwamba hawakuwa post Jesus era.
 
Kasome tens Biblia yako Mzee,,,Ibrahim kisa cha kutembea na kijakazi unakijua vizuri pili Suleiman kuwa na wake wengi mwisho wa Suleiman unaujua? Alibaki na hao wake? Siku nyingine usome kitu vizuri
 
Back
Top Bottom