Hivi ushawahi kujiuliza hili??

Hivi ushawahi kujiuliza hili??

Bulaya001

JF-Expert Member
Joined
Dec 21, 2018
Posts
6,115
Reaction score
6,827
habari za mchana huu wana JF,

Mafundisho mengi tunahimizwa kuwa mwanaume anapaswa kuwa na mke mmoja, na kama akizidisha basi atakuwa ni mdhambi(ktk imani za kikirsto), swali langu hua najiuliza kama kweli ni dhambi mbona mitume na manabii waliokuwa na imani kubwa na waliopendwa zaidi na mungu kwa nini walikuwa na mke zaidi ya mmoja mfano ibrahim alivolala na mjakazi wake ili apate mtoto, piah kwa Suleiman ambae alimiliki zaidi ya wanawake 1000. lakini bado mungu aliwapenda manabii hawa, naombeni nieleweshwe kwa mwenye uelewa zaidi kuhusu hili?!!

karibuni kwa maoni yenu:-

Sent using Jamii Forums mobile app
 
habari za mchana huu wana JF,

mafundisho mengi tunahimizwa kuwa mwanaume anapaswa kuwa na mke mmoja, na kama akizidisha basi atakuwa ni mdhambi(ktk imani za kikirsto), swali langu hua najiuliza kama kweli ni dhambi mbona mitume na manabii waliokuwa na imani kubwa na waliopendwa zaidi na mungu kwa nini walikuwa na mke zaidi ya mmoja mfano ibrahim alivolala na mjakazi wake ili apate mtoto, piah kwa Suleiman ambae alimiliki zaidi ya wanawake 1000. lakini bado mungu aliwapenda manabii hawa, naombeni nieleweshwe kwa mwenye uelewa zaidi kuhusu hili?!!

karibuni kwa maoni yenu:-

Sent using Jamii Forums mobile app
Ukurisitu sio Dini ambao ni practical kwa asilimia kubwa ni idealistic haina solution ya moja kwa moja kwa changamoto za kila siku za Binaadamu iko kiroho zaidi it's like 'mythical beliefs' kuna masuala megi ya mechemsha mfano watumishi kama ma padiri kuto oa hilo liko ageneist human nature, kutota utaratibu wa urithi, Talaka, nk

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ukurisitu sio Dini ambao ni practical kwa asilimia kubwa ni idealistic haina solution ya moja kwa moja kwa changamoto za kila siku za Binaadamu iko kiroho zaidi it's like 'mythical beliefs' kuna masuala megi ya mechemsha mfano watumishi kama ma padiri kuto oa hilo liko ageneist human nature, kutota utaratibu wa urithi, Talaka, nk

Sent using Jamii Forums mobile app
asante kwa mchango wako, lkn ningependa kujua zaidi kwa nn inakuwa hivi, maybe ni kutokana na maslah ya wachache ama kinachofundishwa sicho mitume walichokiandika ktk vitabu vyao!!?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hao wanawake wao ndo waliluhusu kulala na vijakazi wao

Mfano lbrahimu na yakobo

Ata ivyo Mungu alikuwa na upendeleo fulani Huko mwanzo anajua mwenyewe kwa vigezo vyake huwenda walikua hawatendi maasi sana

Sent using Jamii Forums mobile app
 
asante kwa mchango wako, lkn ningependa kujua zaidi kwa nn inakuwa hivi, maybe ni kutokana na maslah ya wachache ama kinachofundishwa sicho mitume walichokiandika ktk vitabu vyao!!?

Sent using Jamii Forums mobile app
Kaka katika Dunia hi watu na vikundi vya watu wanakua na personal interest katika Imani/ Dini wako tayari kufanya extra au inter pollute, kwa maslahi yao binafsi kwa hiyo uenda western capitalist walisha ona Christianity kama political na economic toal.......sasa wanaitegeneza kuendana na utamaduni na economic setup zao .....ila hilo ni opinion yangu tu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kaka katika Dunia hi watu na vikundi vya watu wanakua na personal interest katika Imani/ Dini wako tayari kufanya extra au inter pollute, kwa maslahi yao binafsi kwa hiyo uenda western capitalist walisha ona Christianity kama political na economic toal.......sasa wanaitegeneza kuendana na utamaduni na economic setup zao .....ila hilo ni opinion yangu tu

Sent using Jamii Forums mobile app
hv inawezekana eeh!!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ukristu ulifuata maisha ya Yesu, yeye hakuoa wala hakuzini. Alikuwa msafi na ndiyo maana kifo chake kilikuwa sadaka bora iliyompendeza Mwenyezi Mungu kwa msamaha wa dhambi zetu.

Kipindi cha Yesu, mitume na manabii walianza kuwa na mke mmoja mmoja. Kama Zakaria Baba wa Yohana mbatizaji. Ingawa hakuwa na mtoto lakini alimuamini Mungu. Na alijaliwa mtoto uzeeni.
 
Ukristu ulifuata maisha ya Yesu, yeye hakuoa wala hakuzini. Alikuwa msafi na ndiyo maana kifo chake kilikuwa sadaka bora iliyompendeza Mwenyezi Mungu kwa msamaha wa dhambi zetu.

Kipindi cha Yesu, mitume na manabii walianza kuwa na mke mmoja mmoja. Kama Zakaria Baba wa Yohana mbatizaji. Ingawa hakuwa na mtoto lakini alimuamini Mungu. Na alijaliwa mtoto uzeeni.
nimeanza kupata concept kabisa, asante kwa maoni yako.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mambo ya dini ni magumu kuyatafsiri,kwa sababu walioleta hizo imani walikuwa na malengo yao.Ila jiulize,mkeo akiwa na wanaume wanne,we utajisikiaje? Jibu utakalopata ni sawa na mwanaume mmoja kuoa wake wanne n.k
 
Mambo ya dini ni magumu kuyatafsiri,kwa sababu walioleta hizo imani walikuwa na malengo yao.Ila jiulize,mkeo akiwa na wanaume wanne,we utajisikiaje? Jibu utakalopata ni sawa na mwanaume mmoja kuoa wake wanne n.k
Acha izo mambo mkuu, kwa mwanamke kuwa na wanaume wengi uyo ni umalaya. Embu tizama ata kwa wanyama, jogoo anaweza akawa ata na dike 6 ila kamwe hauto kuja kumuona kuku dike yuko na jogoo 6.... Ni hayo tu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ukristu ulifuata maisha ya Yesu, yeye hakuoa wala hakuzini. Alikuwa msafi na ndiyo maana kifo chake kilikuwa sadaka bora iliyompendeza Mwenyezi Mungu kwa msamaha wa dhambi zetu.

Kipindi cha Yesu, mitume na manabii walianza kuwa na mke mmoja mmoja. Kama Zakaria Baba wa Yohana mbatizaji. Ingawa hakuwa na mtoto lakini alimuamini Mungu. Na alijaliwa mtoto uzeeni.

Zakaria baba wa Yohana Mbatizaji alikuwa kabla ya kipindi cha Yesu, kwa sababu pia Yohana was older to Jesus.
 
Ukurisitu sio Dini ambao ni practical kwa asilimia kubwa ni idealistic haina solution ya moja kwa moja kwa changamoto za kila siku za Binaadamu iko kiroho zaidi it's like 'mythical beliefs' kuna masuala megi ya mechemsha mfano watumishi kama ma padiri kuto oa hilo liko ageneist human nature, kutota utaratibu wa urithi, Talaka, nk

Sent using Jamii Forums mobile app
Agenda ya mapadre kutooa si ukristo. Na siyo fundisho LA kibiblia. Ni mapokeo ya kanisa katoliki. Ukipata Fungu linalokataza viongozi wa kanisa kuoa uje nikupe milioni moja.
 
asante kwa mchango wako, lkn ningependa kujua zaidi kwa nn inakuwa hivi, maybe ni kutokana na maslah ya wachache ama kinachofundishwa sicho mitume walichokiandika ktk vitabu vyao!!?

Sent using Jamii Forums mobile app

Mkuu umeulizwa swali zuri na yaonesha hakika unahitajia kujua.
Ila mie nikiri sijui kwa upande wenu ipoje mpaka kukawa na zuio la kuoa mke mmoja na wengine kutokuoa na kuolewa.
Ninachojua aliyetuumba anatujua vema mno kuliko tunavyojijua.
Na ukweli ni kuwa katika Dunia hii kwa mwanaume yeyote ambaye ni rijali basi hayupo hata mmoja ambaye anaweza kukidhiwa na MKE MMOJA.
Kila atakae jinasibu kuwa na mmoja kama hajashika Maarisho na makatazo ya Muumba wake basi ataangukia kwa MALAYA.
Sisi Muumba wetu hajatughini na ametakasika juu ya hilo,katupa uhuru
Oa Mnene-
Mwembamba -
Mfupi
Mrefu
Wewe tu
 
Sasa hauna imani, busara wala hekima kama za hao mitume na bado unataka wanawake wengi kweli?
 
Hao wanawake wao ndo waliluhusu kulala na vijakazi wao

Mfano lbrahimu na yakobo

Ata ivyo Mungu alikuwa na upendeleo fulani Huko mwanzo anajua mwenyewe kwa vigezo vyake huwenda walikua hawatendi maasi sana

Sent using Jamii Forums mobile app
Katika ukristo utamaduni wa wazungu wa kimagharibi umeingizwa mno. Ambao sio maagizo ya Mungu kwa mtazamo wangu kama hapo kwenye idadi ya wake.

Au hiyo ya mapadre kutoowa sio amri ya Mungu ni kwa mawazo ya watumishi flani hapo kati.

BTW, mimi ni mkristo mkatoliki.
 
Ukristu ulifuata maisha ya Yesu, yeye hakuoa wala hakuzini. Alikuwa msafi na ndiyo maana kifo chake kilikuwa sadaka bora iliyompendeza Mwenyezi Mungu kwa msamaha wa dhambi zetu.

Kipindi cha Yesu, mitume na manabii walianza kuwa na mke mmoja mmoja. Kama Zakaria Baba wa Yohana mbatizaji. Ingawa hakuwa na mtoto lakini alimuamini Mungu. Na alijaliwa mtoto uzeeni.
Ukristu ulifuata maisha ya Yesu, yeye hakuoa wala hakuzini. Alikuwa msafi na ndiyo maana kifo chake kilikuwa sadaka bora iliyompendeza Mwenyezi Mungu kwa msamaha wa dhambi zetu.

Kipindi cha Yesu, mitume na manabii walianza kuwa na mke mmoja mmoja. Kama Zakaria Baba wa Yohana mbatizaji. Ingawa hakuwa na mtoto lakini alimuamini Mungu. Na alijaliwa mtoto uzeeni.
 
Back
Top Bottom