Nafaka
JF-Expert Member
- Feb 17, 2015
- 12,156
- 31,043
Hapa ninasikiliza interview ya Dr. Abbas msemaji mkuu wa serikali XXL, kwenye play list yake kachagua goma la Tshirt na Jeans, nikakumbuka hawa jamaa wa University Corner. Baada ya kutoa album yao iliyokuwa na vibao vikali wakapotea.
Tofauti na makundi mengine ambayo wasanii wake walau tunajua waliko hawa sijawahi wasikia kokote.
Tofauti na makundi mengine ambayo wasanii wake walau tunajua waliko hawa sijawahi wasikia kokote.