Hivi University Corner wako wapi?

Nafaka

JF-Expert Member
Feb 17, 2015
12,156
31,043
Hapa ninasikiliza interview ya Dr. Abbas msemaji mkuu wa serikali XXL, kwenye play list yake kachagua goma la Tshirt na Jeans, nikakumbuka hawa jamaa wa University Corner. Baada ya kutoa album yao iliyokuwa na vibao vikali wakapotea.

Tofauti na makundi mengine ambayo wasanii wake walau tunajua waliko hawa sijawahi wasikia kokote.
 
¶....Kiila mmoja anapendezaa....tishet na jinsi, hakuna inayomchukizaa tishet na jinsi, sintoweza kuiacha inanitoa chicha nami nawakilishaaa Tishet na jinsi........¶
 
Enzi zetu hizo mzee,
Sahiv uzee ushagonga hodi 👵
Kuna ile inaitwa sina nauli

Nataka kwenda kazini (sina nauli)
Nataka hospitalini (sina nauli)
Sina nauli sina nauli kabisa
Ndiyo maana ndugu tunashindwa kuonana

Long gone are the days when apple and blackberry were fruits.
Sasa hivi ni mwendo wa inama nichomeke, sijui ifinyie kwa ndani...
 
"Jinsi haipigwi pasi wala jinsi haifuliwi, angalia sana jinsi nyeusi haipigwi kiwi"
 
Kuna ile inaitwa sina nanuli

Nataka kwenda kazini (sina nauli)
Nataka hospitalini (sina nauli)
Sina nauli sina nauli kabisa
Ndiyo maana ndugu tunashindwa kuonana

Long gone are the days when apple and blackberry were fruits.
Sasa hivi ni mwendo wa inama nichomeke, sijui ifinyie kwa ndani...
Haaaaa Haaaaa 😂, Mara paka mate iteleze kama nyoka pangoni
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom