University Corner walioimba T-shirt na Jeans wako wapi?

University Corner walioimba T-shirt na Jeans wako wapi?

Fbn

JF-Expert Member
Joined
Jul 31, 2016
Posts
15,759
Reaction score
37,370
Kipindi cha 2012 kushuka chini wasanii walijizolea umaarufu sana kwa nyimbo moja tu.

Kuna hawa vijana wa university corner na wimbo wao wa t-shirt na jeans.

Kiukweli wale jamaa kama ni jina lao la kikundi walitumia usanii kikamilifu kuanzia kutunga mpaka kuitendea haki beat.

Ni kitambo sana wimbo huu ulitoka kipindi kama kuanzia 2003.

Na sikuwasikia tena kutunga nyimbo na mpaka leo wapo wapi maana na sikia walikuwa wasomi wa UDSM.

0ae88e34307541cee54e7b2be750e62f.jpg
 
Kima mmoja anapendezaaaaa ,T shirt na jeans, hakunaaa inayemchukizaaaaa

Itakuwa wapo humu JF,Humu kuna kila aina ya watu ,hadi yule disii aliyegongewa yumo
 
Hawa jamaa walipotelea wap sijui. Walikuw wanapiga sana ngoma yao T-shirt na Jeans. .
 
Kipindi cha 2012 kushuka chini wasanii walijizolea umaarufu sana kwa nyimbo moja tu.

Kuna hawa vijana wa university corner na wimbo wao wa t-shirt na jeans.

Kiukweli wale jamaa kama ni jina lao la kikundi walitumia usanii kikamilifu kuanzia kutunga mpaka kuitendea haki beat.

Ni kitambo sana wimbo huu ulitoka kipindi kama kuanzia 2003.

Na sikuwasikia tena kutunga nyimbo na mpaka leo wapo wapi maana na sikia walikuwa wasomi wa UDSM.

View attachment 2526161
Kila mmoja anapendezaa....hakuna inayo mchukizaaaa.......😊😊😊🤓🤓

Hapa nilipo nimevaa Tshirts na 👖👖👖
 
Kipindi cha 2012 kushuka chini wasanii walijizolea umaarufu sana kwa nyimbo moja tu.

Kuna hawa vijana wa university corner na wimbo wao wa t-shirt na jeans.

Kiukweli wale jamaa kama ni jina lao la kikundi walitumia usanii kikamilifu kuanzia kutunga mpaka kuitendea haki beat.

Ni kitambo sana wimbo huu ulitoka kipindi kama kuanzia 2003.

Na sikuwasikia tena kutunga nyimbo na mpaka leo wapo wapi maana na sikia walikuwa wasomi wa UDSM.

View attachment 2526161
Mbona walishaDISCO zamani sana😛😛😛
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom