Jana Ulirudi Usiku
JF-Expert Member
- Sep 9, 2021
- 2,363
- 2,261
Hello,
Kila mtu anapitia magumu au amewahi kupitia katika mahusiano yake. Je, unaweza kuvumilia ukijibanza sehemu na ukasikia demu wako anaongea na mdogo wake wa kiume, na katika maongezi ukasikia anasema "na huyu shemejio mambo yake ni kama mwanamke mwenye mimba, ana mambo ya kidemu mno".
Je, utakausha?
Kila mtu anapitia magumu au amewahi kupitia katika mahusiano yake. Je, unaweza kuvumilia ukijibanza sehemu na ukasikia demu wako anaongea na mdogo wake wa kiume, na katika maongezi ukasikia anasema "na huyu shemejio mambo yake ni kama mwanamke mwenye mimba, ana mambo ya kidemu mno".
Je, utakausha?