Hivi unalijua jambo hili?

Hivi unalijua jambo hili?

BenElohimy

Senior Member
Joined
Sep 21, 2021
Posts
181
Reaction score
223
Unapolala na kuamka halafu ukauona mwanga ni MUUJIZA tosha!!

Unapolala mchana au usiku kitendo cha kuwaona wanaokuzunguka ni MUUJIZA tosha!!

Kitendo cha wewe kuzaliwa na kukua hapa duniani ni MUUJIZA tosha!! Kwani kuna wengine walitupwa mitaroni, madarajani, baharini n.k

Sasa wewe sijui unatafuta muujiza mara wa Fedha, mara Viwanja mara oooh nini!!! Acheni Uvivu.

Fanya kazi huku ukimwomba Mungu akufanikishe, Pambana kupata namna ya kujikwamua na hali uliyo nayo angali ukimwomba Mungu.

Goood morning
 
Unapolala na kuamka halafu ukauona mwanga ni MUUJIZA tosha!!

Unapolala mchana au usiku kitendo cha kuwaona wanaokuzunguka ni MUUJIZA tosha!!

Kitendo cha wewe kuzaliwa na kukua hapa duniani ni MUUJIZA tosha!! Kwani kuna wengine walitupwa mitaroni, madarajani, baharini n.k

Sasa wewe sijui unatafuta muujiza mara wa Fedha, mara Viwanja mara oooh nini!!! Acheni Uvivu.

Fanya kazi huku ukimwomba Mungu akufanikishe, Pambana kupata namna ya kujikwamua na hali uliyo nayo angali ukimwomba Mungu.

Goood morning
sawa
 
Unapolala na kuamka halafu ukauona mwanga ni MUUJIZA tosha!!

Unapolala mchana au usiku kitendo cha kuwaona wanaokuzunguka ni MUUJIZA tosha!!

Kitendo cha wewe kuzaliwa na kukua hapa duniani ni MUUJIZA tosha!! Kwani kuna wengine walitupwa mitaroni, madarajani, baharini n.k

Sasa wewe sijui unatafuta muujiza mara wa Fedha, mara Viwanja mara oooh nini!!! Acheni Uvivu.

Fanya kazi huku ukimwomba Mungu akufanikishe, Pambana kupata namna ya kujikwamua na hali uliyo nayo angali ukimwomba Mungu.

Goood morning
Jambo hili uliloandika hakika ni la kweli na ni kubwa sana. Wengi hatujui namna tulivyo kuja hapa duniani. Tunachojua ni kwamba kuzaliwa, kuishi, na hatimaye kufa; ni jambo la kawaida tu na kwamba halina uzito wowote.

Kuwapo (kuishi) duniani ni jambo kubwa sana ambalo halina mfanowe. Tuliozaliwa na kuishi duniani, tuna bahati kubwa sana; ni kubwa kuliko hata ile tunayosikia kuwa, mtu ameshinda bahati nasibu ya Tshs 236,000,000/= ya tusua mapene. Kwa nini nasema hivyo? Unaweza kukisia?

Unajua, kabla ya kuzaliwa kwetu, hata kabla ya kutungwa kwa mimba zetu (samahani kwa kutumia maneno haya mazito, sina mbadala wake), Mungu alituona, na akateua baadhi (wachache) kuja kuirithi dunia yake? Hili hatuwezi kuliona, kwa kuwa tumejaa wengi sana na kutoona thamani tuliyopewa na Mungu.

Mleta mada umetaja maajabu, ni kweli haya ni maajabu, lakini ni machache sana kati ya yale aliyotupatia Mungu. Ukweli ni kuwa, kila tuonacho duniani ni maajabu. Ila kwa kuwa tumezaliwa, tunakua (tunpata akili), tunayazoea taratibu na hivyo kutoona kama ni maajabu! Hebu tufikirie, Mungu angetufanyia maajabu; tunazaliwa tukiwa wakubwa na akili zetu; yaani unaletwa duniani ukiwa tayari mtu mzima, ungeonaje hapa duniani?! Basi hayo ndio maajabu tunayotakiwa kuyaona hata sasa!
 
Unapolala na kuamka halafu ukauona mwanga ni MUUJIZA tosha!!

Unapolala mchana au usiku kitendo cha kuwaona wanaokuzunguka ni MUUJIZA tosha!!

Kitendo cha wewe kuzaliwa na kukua hapa duniani ni MUUJIZA tosha!! Kwani kuna wengine walitupwa mitaroni, madarajani, baharini n.k

Sasa wewe sijui unatafuta muujiza mara wa Fedha, mara Viwanja mara oooh nini!!! Acheni Uvivu.

Fanya kazi huku ukimwomba Mungu akufanikishe, Pambana kupata namna ya kujikwamua na hali uliyo nayo angali ukimwomba Mungu.

Goood morning
Ebwana wee
Kumbe
 
Jambo hili uliloandika hakika ni la kweli na ni kubwa sana. Wengi hatujui namna tulivyo kuja hapa duniani. Tunachojua ni kwamba kuzaliwa, kuishi, na hatimaye kufa; ni jambo la kawaida tu na kwamba halina uzito wowote.

Kuwapo (kuishi) duniani ni jambo kubwa sana ambalo halina mfanowe. Tuliozaliwa na kuishi duniani, tuna bahati kubwa sana; ni kubwa kuliko hata ile tunayosikia kuwa, mtu ameshinda bahati nasibu ya Tshs 236,000,000/= ya tusua mapene. Kwa nini nasema hivyo? Unaweza kukisia?

Unajua, kabla ya kuzaliwa kwetu, hata kabla ya kutungwa kwa mimba zetu (samahani kwa kutumia maneno haya mazito, sina mbadala wake), Mungu alituona, na akateua baadhi (wachache) kuja kuirithi dunia yake? Hili hatuwezi kuliona, kwa kuwa tumejaa wengi sana na kutoona thamani tuliyopewa na Mungu.

Mleta mada umetaja maajabu, ni kweli haya ni maajabu, lakini ni machache sana kati ya yale aliyotupatia Mungu. Ukweli ni kuwa, kila tuonacho duniani ni maajabu. Ila kwa kuwa tumezaliwa, tunakua (tunpata akili), tunayazoea taratibu na hivyo kutoona kama ni maajabu! Hebu tufikirie, Mungu angetufanyia maajabu; tunazaliwa tukiwa wakubwa na akili zetu; yaani unaletwa duniani ukiwa tayari mtu mzima, ungeonaje hapa duniani?! Basi hayo ndio maajabu tunayotakiwa kuyaona hata sasa!
Mungu ametutelekeza🤔
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom