Hivi unakumbuka nini ukiona picha hii??

Hivi unakumbuka nini ukiona picha hii??

Na hii je?
277 radio receiver.jpg
 
Nakumbuka nishawah kuchezea bakora ,nikamvizia dingi katoka nikaenda ku_play,sasa ilikuwa na desturi ya kunywa[kujinyongwa kwenye head],nilipogundua nikajaribu kutoa nikashindwa nikakata,then nikachukua partex flan hiv ya kuzibia tube za baiskel nikaunganisha harafu nikakausha,sasa mwenyew karud na betri zake,wakat ana_play akashangaa nyimbo imeanza kuimba ghafla imehama nyimbo ya nne4,hakuamini maaana alikuwa nyimbo kazikalili,alipo rewind akagundua kwamba nimeikata,hicho kichapo chake balaa,nakumbuk cku ile nyumban kilipikwa cha ndege kuku,aiseee roho iliniuma sana[FLOP DISK]
 
Mwaka 1998 nilirekodi mazungumzo yetu mimi na mchumba wangu kwa kutumia Radio yangu aina ya HITACHI. Ule mkanda (cassete) ulikuwa na muziki wa bingwa wa Soukous Alain Kounkou wa Zaire(Congo DR) sote tulikuwa tukipenda sana kusikiliza rekodi zake huyu nguli. Mchumba alikasirika kwa kurekodiwa bila ridhaa. Niliamua kununua mkanda mwingine kama ule tena, na ule wenye sauti yake nikauhifadhi ktk shubaka la makorokoro ambayo kwa kawaida si muhimu sana wala si takataka, Hayatupwi. Mwaka 2000 tuliowana na kuj'aliwa mtoto. Kwa mapenzi yake MUNGU mke wangu alifariki mwaka 2011 akiwa mjamzito wa mapacha wawili na niliwapoteza wote. MUNGU ni mwema mke wangu aliniachia Bint yetu wa kwanza aliyezaliwa mwaka 2006 na wakati mama yake anafariki alikuwa na miaka mitano sawia. Juzi huyu bint yangu ametimiza miaka 10, niliamua (sijui kwa nini) kumuuliza kama anakumbuka chochote kuhusu mama yake akasema hakumbuki vema. Niliamua kuchukua ile Radio na ile cassete na kumuomba tuisikilize. Tulilia sana! Ubarikiwe mtoa mada.
aisee pole sana mkubwa
 
Mwaka 1998 nilirekodi mazungumzo yetu mimi na mchumba wangu kwa kutumia Radio yangu aina ya HITACHI. Ule mkanda (cassete) ulikuwa na muziki wa bingwa wa Soukous Alain Kounkou wa Zaire(Congo DR) sote tulikuwa tukipenda sana kusikiliza rekodi zake huyu nguli. Mchumba alikasirika kwa kurekodiwa bila ridhaa. Niliamua kununua mkanda mwingine kama ule tena, na ule wenye sauti yake nikauhifadhi ktk shubaka la makorokoro ambayo kwa kawaida si muhimu sana wala si takataka, Hayatupwi. Mwaka 2000 tuliowana na kuj'aliwa mtoto. Kwa mapenzi yake MUNGU mke wangu alifariki mwaka 2011 akiwa mjamzito wa mapacha wawili na niliwapoteza wote. MUNGU ni mwema mke wangu aliniachia Bint yetu wa kwanza aliyezaliwa mwaka 2006 na wakati mama yake anafariki alikuwa na miaka mitano sawia. Juzi huyu bint yangu ametimiza miaka 10, niliamua (sijui kwa nini) kumuuliza kama anakumbuka chochote kuhusu mama yake akasema hakumbuki vema. Niliamua kuchukua ile Radio na ile cassete na kumuomba tuisikilize. Tulilia sana! Ubarikiwe mtoa mada.
pole sana mkuu ni kama naona movie vile..
 
Umenikumbusha mbali sana wakati huo betrii zikiisha hazitupwi. [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]

...tulikuwa tunazirushia juu ya bati, zinakung'utwa na jua weeeeee na baada ya kama mwezi kupita tunazirudishia tena.... twende kazi
 
nimeamini maneno ya mchangiaji mmoja kuwa ile tape ypande mmoja ilkuwa una speed na ule mwengine inakuwa slo.. angalia video hii ndio utaamini na utazidi kukumbuka mbali
 
nimeamini maneno ya mchangiaji mmoja kuwa ile tape ypande mmoja ilkuwa una speed na ule mwengine inakuwa slo.. angalia video hii ndio utaamini na utazidi kukumbuka mbali
Yaan huwezi amini nilikosa amani kabisa kisa hii kitu, nikaja elewa baadae sana baada kufika sekondari kwenye fiziksi.
 
And when music was music not now where the quality of music is negative.
Yeah, there you are. Siku hizi ni ujinga tu hasa pale ubora unapotegemea followers kwenye Instagram.
 
Mwaka 1998 nilirekodi mazungumzo yetu mimi na mchumba wangu kwa kutumia Radio yangu aina ya HITACHI. Ule mkanda (cassete) ulikuwa na muziki wa bingwa wa Soukous Alain Kounkou wa Zaire(Congo DR) sote tulikuwa tukipenda sana kusikiliza rekodi zake huyu nguli. Mchumba alikasirika kwa kurekodiwa bila ridhaa. Niliamua kununua mkanda mwingine kama ule tena, na ule wenye sauti yake nikauhifadhi ktk shubaka la makorokoro ambayo kwa kawaida si muhimu sana wala si takataka, Hayatupwi. Mwaka 2000 tuliowana na kuj'aliwa mtoto. Kwa mapenzi yake MUNGU mke wangu alifariki mwaka 2011 akiwa mjamzito wa mapacha wawili na niliwapoteza wote. MUNGU ni mwema mke wangu aliniachia Bint yetu wa kwanza aliyezaliwa mwaka 2006 na wakati mama yake anafariki alikuwa na miaka mitano sawia. Juzi huyu bint yangu ametimiza miaka 10, niliamua (sijui kwa nini) kumuuliza kama anakumbuka chochote kuhusu mama yake akasema hakumbuki vema. Niliamua kuchukua ile Radio na ile cassete na kumuomba tuisikilize. Tulilia sana! Ubarikiwe mtoa mada.
Pole sana mkuu
 
Back
Top Bottom