Horseshoe Arch
JF-Expert Member
- Aug 10, 2009
- 13,402
- 12,791
Hilo gauni ulilovaa kwenye avatar linatia kichefu chefu...
nakumbuka mbali sana hiyo radio tulikuwa nayo home niliitesa sana ilikuwa ngumu sana kuharibika nilikuwa nalifunguafungua sana.. dah nakumbuka mbaliMkuu hizo mbona ninazo hadi leo hii natumiagaView attachment 370397
Na redio yake ninayo bado
uzuri wa tape Inadumu kidogo ila cd ikikwaruzika ndio basi tenaMuuliza swali kauliza swali techinical sana. Sababu majibu yake lazima yatokane na mikondo miwili. Yaani historia pa1 na sayansi na teknolojia.
Kanda,tape cjui nn,sawa lakin zilitumika miaka gani,ubora wake na ubaya wake kabla ya cds ambazo nazo tayari zimepitwa na wakati.
Mtoto Idd hii ya juzi juzi 2004? Wakati mwingine huwa tunagombana na watoto wetu humu ndani
Sio rewinder kufa, kubana matumizi ya betri zisiishe harakamie nakumbuka enzi hizo nyimbo kama imeisha unataka kusikiliza tena inabidi utumie peni kurewind kama rewinder ya radio imekufa... hahahaha
Unakuwaga makini na hizi namba, ila upo kwenye 20s zako. EnjoyHahaaaa, acha kabisa, unakaza mishipa na vidole kupinda kwa kutype kumbe unabishana na mtu wa miaka 15!
Aaah, kilimambogo na katitu, na less wanyika, shemeji agness na afro mtoto wa saganaYekeyeke, Dunia hii mama lukumbalukumba, mukomboti, thank you Mr. DJ for playing my song, Ohhh mesenja..... naam boss
Those were the days when men were men and girls were still virginsmie nakumbuka enzi hizo nyimbo kama imeisha unataka kusikiliza tena inabidi utumie peni kurewind kama rewinder ya radio imekufa... hahahaha
Hah hah hah hah, sawa bwana mkubwa. Nimeshikilia mbavu kwa maumivu ya kichekoZamani kaseti hizo zilikuwa zinatumika katika vibanda vya pombe ya kienyeji. Muuza pombe alikuwa anachukua hiyo tape alafu anarekodi vipindi vyote hadi taarifa ya habari, wateja wakishafika kuanza kulewa usiku unapozidikuwa mwingi anachukua redio yake na kutia tape, ngoma inaanza kulia taarifa ya habari ya saa mbili usiku, kwa kuwa pombe imesha controll celebrum walevi hudhani saa mbili usiku kweli na kuendelea kulewa.
Pen ya Bic ndio ilikua maarufu kwa ku rewind hizo Kaseti.mie nakumbuka enzi hizo nyimbo kama imeisha unataka kusikiliza tena inabidi utumie peni kurewind kama rewinder ya radio imekufa... hahahaha
Aisee...Juma Nature si wa juzi tu?Aurus Mabele uyoooooo
niliharibu kanda za dingi kwa kurekodi nyimbo za juma nature hasa hasa mtoto idi.
umesoma kipindi gani?..sisi wa enzi hizo tunajua tofaut ya wimbo na nyimbomie nakumbuka enzi hizo nyimbo kama imeisha unataka kusikiliza tena inabidi utumie peni kurewind kama rewinder ya radio imekufa... hahahaha
Betri ikiisha chaji tena unaiponda ponda unazirudisha tena kwenye radio na maisha yanaendelea.yeah betri. ikiisha chaji inaanikwa juani ipate chaji kisha baadae inarudishwa kwenye radio mpango mzima
And when music was music not now where the quality of music is negative.Those days men were men and friends were fiends, na wanaume wa Dar walikuwa wanaume kwelikweli.