mbona kama kwao kama ni kitendo cha kawaida saana si unaona wanacheka? jaribu bongo huone maafisa usalama walivyo na uchu wa kupiga watu, utahadithia kipigo utacho pata} maze e nimependa kinoma jezi zao; mahafande wa bongo hatuwezi kuiga katika majeshi yetu, macombat sii ya vikao ni ya kupigania au wadau mnasemaje?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.