RRONDO
JF-Expert Member
- Jan 3, 2010
- 51,730
- 107,840
Akili zao zinakuwa wapi?Wenye matako mara nyingi akili zao zinakuwa huko huko.
Na prefer smart woman sababu hata kwenye suala la uchumi wanakuwaga na akili sana.
Yaan wanasaidia sana kwenye kife haswa mwanaume ukikwama. Hata ukimpa pesa anajua jinsi gan aipangilie falmilia yote ile.
Tako halikupi mke mwema
Sent using Jamii Forums mobile app