Hivi umeshawahi kuwa na mwanamke mwenye akili?

kombaME

JF-Expert Member
Aug 24, 2015
2,115
2,809
Kwa tuliobahatika kukutana na Wanawake wenye akili katika maisha yetu tutakuwa mashuhuda, huwa ni raha sana. Hawa Wanawake hawachoshi kabisa, muda wote unatamani awe karibu, anajali sana nafasi yako katika maisha yake, utakuta yupo buzy na mambo yake mengi lakin hakusahau nawew, hakuachi nyuma, hakurupuki kwenye Kuongea, hataki aonekane kero au mzigo Kwako.

Atajua mapema nini unataka na atakifanya, hapendia magomvi, akikuudhi anatafuta njia sahihi sana ya Kuomba msamaha na utamsamehe tu.. daima anataka akufurahishe, ukiwa na tatizo sasa Yeye anakuwa mwanga Katikati ya Giza, anajua uwepo wake mbele yako una maana ya kukupa unafuu sio mzigo na kero, hajivunii chochote zaidi ya wew..

Achana na wanawake wako wa uswahilini hao, anakuja kukutembelea ghetto kuna kila kitu, mchele, mboga, unga, jiko, maji na vyombo lakin anataka umuagizie Chipsi.. pambaffff... akija ndani anaanza kusamanisha saman zako badala ya kujua kwamba Yeye yupo pale kuhakikisha mnapanda juu zaid.. wanataka mtelemko..

Mwanamke ambaye hana akili anakulazimisha uwe muongo na mjanja mjanja ili kuendenda na anavyowaza au anavyotaka ili uendelee kupata papuchi..

NI RAHA SANA KUDATE NA MWANAMKE MWENYE AKILI, ASIKUAMBIE MTU

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwa tuliobahatika kukutana na Wanawake wenye akili katika maisha yetu tutakuwa mashuhuda, huwa ni raha sana. Hawa Wanawake hawachoshi kabisa, muda wote unatamani awe karibu, anajali sana nafasi yako katika maisha yake, utakuta yupo buzy na mambo yake mengi lakin hakusahau nawew, hakuachi nyuma, hakurupuki kwenye Kuongea, hataki aonekane kero au mzigo Kwako.

Atajua mapema nini unataka na atakifanya, hapendia magomvi, akikuudhi anatafuta njia sahihi sana ya Kuomba msamaha na utamsamehe tu.. daima anataka akufurahishe, ukiwa na tatizo sasa Yeye anakuwa mwanga Katikati ya Giza, anajua uwepo wake mbele yako una maana ya kukupa unafuu sio mzigo na kero, hajivunii chochote zaidi ya wew..

Achana na wanawake wako wa uswahilini hao, anakuja kukutembelea ghetto kuna kila kitu, mchele, mboga, unga, jiko, maji na vyombo lakin anataka umuagizie Chipsi.. pambaffff... akija ndani anaanza kusamanisha saman zako badala ya kujua kwamba Yeye yupo pale kuhakikisha mnapanda juu zaid.. wanataka mtelemko..

Mwanamke ambaye hana akili anakulazimisha uwe muongo na mjanja mjanja ili kuendenda na anavyowaza au anavyotaka ili uendelee kupata papuchi..

NI RAHA SANA KUDATE NA MWANAMKE MWENYE AKILI, ASIKUAMBIE MTU

Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu kupata aina ya mwanamke mwenye akiri utawazunguka kama 20 tena unaweza ukamkosa pia wanawake ni mtihani.......

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nilimpata she was bright. No mambo mengi. No drama. No games.
Strsight love adab japokuwa alinizid kwenye pesa.

Nakukumbukaga sana j. Ww ni rare breed ya wanawake.. hawa akina asha nkupe waliojaa huku mtaan hawana kitu
Kwa tuliobahatika kukutana na Wanawake wenye akili katika maisha yetu tutakuwa mashuhuda, huwa ni raha sana. Hawa Wanawake hawachoshi kabisa, muda wote unatamani awe karibu, anajali sana nafasi yako katika maisha yake, utakuta yupo buzy na mambo yake mengi lakin hakusahau nawew, hakuachi nyuma, hakurupuki kwenye Kuongea, hataki aonekane kero au mzigo Kwako.

Atajua mapema nini unataka na atakifanya, hapendia magomvi, akikuudhi anatafuta njia sahihi sana ya Kuomba msamaha na utamsamehe tu.. daima anataka akufurahishe, ukiwa na tatizo sasa Yeye anakuwa mwanga Katikati ya Giza, anajua uwepo wake mbele yako una maana ya kukupa unafuu sio mzigo na kero, hajivunii chochote zaidi ya wew..

Achana na wanawake wako wa uswahilini hao, anakuja kukutembelea ghetto kuna kila kitu, mchele, mboga, unga, jiko, maji na vyombo lakin anataka umuagizie Chipsi.. pambaffff... akija ndani anaanza kusamanisha saman zako badala ya kujua kwamba Yeye yupo pale kuhakikisha mnapanda juu zaid.. wanataka mtelemko..

Mwanamke ambaye hana akili anakulazimisha uwe muongo na mjanja mjanja ili kuendenda na anavyowaza au anavyotaka ili uendelee kupata papuchi..

NI RAHA SANA KUDATE NA MWANAMKE MWENYE AKILI, ASIKUAMBIE MTU

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wenye matako mara nyingi akili zao zinakuwa huko huko.
Na prefer smart woman sababu hata kwenye suala la uchumi wanakuwaga na akili sana.
Yaan wanasaidia sana kwenye kife haswa mwanaume ukikwama. Hata ukimpa pesa anajua jinsi gan aipangilie falmilia yote ile.

Tako halikupi mke mwema
bora upate mwanamke mwenye makalio makubwa uta-enjoy zaid ya mwenye akili

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Acha kumpigia mbuzi gitaa, nisije kukudharau bure 7bu ya kutwanga maji kwenye kinu Chifu.
Wenye matako mara nyingi akili zao zinakuwa huko huko.
Na prefer smart woman sababu hata kwenye suala la uchumi wanakuwaga na akili sana.
Yaan wanasaidia sana kwenye kife haswa mwanaume ukikwama. Hata ukimpa pesa anajua jinsi gan aipangilie falmilia yote ile.

Tako halikupi mke mwema

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwa tuliobahatika kukutana na Wanawake wenye akili katika maisha yetu tutakuwa mashuhuda, huwa ni raha sana. Hawa Wanawake hawachoshi kabisa, muda wote unatamani awe karibu, anajali sana nafasi yako katika maisha yake, utakuta yupo buzy na mambo yake mengi lakin hakusahau nawew, hakuachi nyuma, hakurupuki kwenye Kuongea, hataki aonekane kero au mzigo Kwako.

Atajua mapema nini unataka na atakifanya, hapendia magomvi, akikuudhi anatafuta njia sahihi sana ya Kuomba msamaha na utamsamehe tu.. daima anataka akufurahishe, ukiwa na tatizo sasa Yeye anakuwa mwanga Katikati ya Giza, anajua uwepo wake mbele yako una maana ya kukupa unafuu sio mzigo na kero, hajivunii chochote zaidi ya wew..

Achana na wanawake wako wa uswahilini hao, anakuja kukutembelea ghetto kuna kila kitu, mchele, mboga, unga, jiko, maji na vyombo lakin anataka umuagizie Chipsi.. pambaffff... akija ndani anaanza kusamanisha saman zako badala ya kujua kwamba Yeye yupo pale kuhakikisha mnapanda juu zaid.. wanataka mtelemko..

Mwanamke ambaye hana akili anakulazimisha uwe muongo na mjanja mjanja ili kuendenda na anavyowaza au anavyotaka ili uendelee kupata papuchi..

NI RAHA SANA KUDATE NA MWANAMKE MWENYE AKILI, ASIKUAMBIE MTU

Sent using Jamii Forums mobile app
Wewe ni mwanamke mwenye akili au ndiyo wale wale??

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom