kombaME
JF-Expert Member
- Aug 24, 2015
- 2,115
- 2,809
Kwa tuliobahatika kukutana na Wanawake wenye akili katika maisha yetu tutakuwa mashuhuda, huwa ni raha sana. Hawa Wanawake hawachoshi kabisa, muda wote unatamani awe karibu, anajali sana nafasi yako katika maisha yake, utakuta yupo buzy na mambo yake mengi lakin hakusahau nawew, hakuachi nyuma, hakurupuki kwenye Kuongea, hataki aonekane kero au mzigo Kwako.
Atajua mapema nini unataka na atakifanya, hapendia magomvi, akikuudhi anatafuta njia sahihi sana ya Kuomba msamaha na utamsamehe tu.. daima anataka akufurahishe, ukiwa na tatizo sasa Yeye anakuwa mwanga Katikati ya Giza, anajua uwepo wake mbele yako una maana ya kukupa unafuu sio mzigo na kero, hajivunii chochote zaidi ya wew..
Achana na wanawake wako wa uswahilini hao, anakuja kukutembelea ghetto kuna kila kitu, mchele, mboga, unga, jiko, maji na vyombo lakin anataka umuagizie Chipsi.. pambaffff... akija ndani anaanza kusamanisha saman zako badala ya kujua kwamba Yeye yupo pale kuhakikisha mnapanda juu zaid.. wanataka mtelemko..
Mwanamke ambaye hana akili anakulazimisha uwe muongo na mjanja mjanja ili kuendenda na anavyowaza au anavyotaka ili uendelee kupata papuchi..
NI RAHA SANA KUDATE NA MWANAMKE MWENYE AKILI, ASIKUAMBIE MTU
Sent using Jamii Forums mobile app
Atajua mapema nini unataka na atakifanya, hapendia magomvi, akikuudhi anatafuta njia sahihi sana ya Kuomba msamaha na utamsamehe tu.. daima anataka akufurahishe, ukiwa na tatizo sasa Yeye anakuwa mwanga Katikati ya Giza, anajua uwepo wake mbele yako una maana ya kukupa unafuu sio mzigo na kero, hajivunii chochote zaidi ya wew..
Achana na wanawake wako wa uswahilini hao, anakuja kukutembelea ghetto kuna kila kitu, mchele, mboga, unga, jiko, maji na vyombo lakin anataka umuagizie Chipsi.. pambaffff... akija ndani anaanza kusamanisha saman zako badala ya kujua kwamba Yeye yupo pale kuhakikisha mnapanda juu zaid.. wanataka mtelemko..
Mwanamke ambaye hana akili anakulazimisha uwe muongo na mjanja mjanja ili kuendenda na anavyowaza au anavyotaka ili uendelee kupata papuchi..
NI RAHA SANA KUDATE NA MWANAMKE MWENYE AKILI, ASIKUAMBIE MTU
Sent using Jamii Forums mobile app