niliijua jf mwaka 2015 nikajiungia kwenye simu ya mshikaj wangu ilikua huwawei hapo ikawa kuingia ni tizi maana mpk ni mtafute msela kitendo kilichopelekea ni sahau password
Mwaka 2017 ndo nilijiunga Rasmi kwenye Tecno F5 hapo bado ilikua kwenye piki now nina simu nyingne.