nashukuru mzima
JF-Expert Member
- Jul 11, 2017
- 1,014
- 1,896
Habari.
Inafika point kushindwa kupokea simu Moja ndani ya Muda mfupi Ina kugharimu kwa kiasi kikubwa Sana.
Matukio Mawili yaliyonitokea yananifanya niwe makini na simu yoyote inayoingia hadi Leo.
La kwanza. Asubuhi nikiwa nimelala nimeiacha simu, nakuta missed calls 3 za jamaa yangu mmoja nikaamua kumtafuta. Akani mind na kuanza kuniambia ,umezingua nilikuwa na kupigia kuna kazi ilikuwa inahitaji mtu wa nafasi yako, HR alikuwa ameniambia nipendekeze jina sasa kitendo cha wewe kutopokea ,tukampa nafasi mtu mwingine pole.
Niliumia Sana kukosa kazi.
La Pili. Nilikuwa na uhitaji mkubwa wa kazi nimetoka kumaliza chuo. Kuna mtu akaniunganisha na hawa Taesa. Aisee! Wakanipigia simu nikaripoti kazi na namba lao lile la 0735.......nikajaribu kuwapigia simu haitoki. Walikuja kunitafuta kama wiki mbele Ila walinifundisha kitu.
Niambie Jambo gani ulilikosa uliposhindwa kupokea simu kwa wakati husika?
Inafika point kushindwa kupokea simu Moja ndani ya Muda mfupi Ina kugharimu kwa kiasi kikubwa Sana.
Matukio Mawili yaliyonitokea yananifanya niwe makini na simu yoyote inayoingia hadi Leo.
La kwanza. Asubuhi nikiwa nimelala nimeiacha simu, nakuta missed calls 3 za jamaa yangu mmoja nikaamua kumtafuta. Akani mind na kuanza kuniambia ,umezingua nilikuwa na kupigia kuna kazi ilikuwa inahitaji mtu wa nafasi yako, HR alikuwa ameniambia nipendekeze jina sasa kitendo cha wewe kutopokea ,tukampa nafasi mtu mwingine pole.
Niliumia Sana kukosa kazi.
La Pili. Nilikuwa na uhitaji mkubwa wa kazi nimetoka kumaliza chuo. Kuna mtu akaniunganisha na hawa Taesa. Aisee! Wakanipigia simu nikaripoti kazi na namba lao lile la 0735.......nikajaribu kuwapigia simu haitoki. Walikuja kunitafuta kama wiki mbele Ila walinifundisha kitu.
Niambie Jambo gani ulilikosa uliposhindwa kupokea simu kwa wakati husika?