Hivi ukitoka hesabu ya trilion unaingia ngapi?

Hivi ukitoka hesabu ya trilion unaingia ngapi?

Hadi muda huu bado hata cjui jibu sahihi ni lipi hapo, kila mtu katiririka anavojua yeye
 
Maana tunaambiwa kuna mamilioni ya pesa, mabilioni na ma trillion....... sasa ukitoka hiyo TRILION unaingia ngapi au ndo inakuwa mwisho wa kuhesabu?
Mkuu hata mimi niliwahi kuuliza swali hilo humu!!mwisho wa pesa ni sh!ngapi
 
Kwa wale wanaopenda kuka riri
kuna sehemu ina sound kama september then inafuata october,november na kisha december ndio decilion
 
Back
Top Bottom