Hivi Tundu Lissu ni shoto? Kama kweli basi wabaya wake wajipange hasa!

unafurahia mkono wa kutawadhia mavi.ww pwagu kweli
Hatuishi kwa imani ila kwa neema. Wewe kama zama hizi za Science and Technology bado unaishi kwa kutegemea "Superstition" then upo dunia hii kimakosa sana.

Mkono ni mkono tu na kama unaona huo wa kushoto ni subordinate kwa ule wa kulia basi ukate ubaki na huo unaouona wa maana, kama una hiyo jeuri.
 
Akihamia tu ccm bx hzo rangu mnampaka mtamfuta kama ambavyo mliweza kumpaka mavi lowa.sa na mkamfuta kwa sekunde tu kumfukiza manukato yote ya ufipa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…