Magonjwa Mtambuka
JF-Expert Member
- Aug 2, 2016
- 29,699
- 26,216
Unapoteza muda tu. Lijamaa lako lipo ughaibuni linapiga miayo. Chezea ukata weye.Kwa vile una akili ya kwendea chooni tu huwezi kuelewa tafsiri ya kiyo katuni.
Sent using Jamii Forums mobile app
Maninja wa bungeniPwagu bibi yako..
Usikariri wote wanatawadhia kushoto..
Maninja hawatawadhi kabisa
Sent using Jamii Forums mobile app
Lissu ni sawa na kiungo anayecheza mpira kwakutumia miguu yote
Nimecheka sanaTundu Lissu mmoja ni sawa na CCM yote hadi wajukuu zao. FARU JEURI akili zake zinamtosha kumtimua mkewe kitandani usiku na kisha akalala na madaftari ya darasa la pili, moja la hisabati na lingine la mwandiko na kitabu cha JUMA na Roza kisha aandae press conference kuwa yuko busy sana ndio maana analala na madaftari
kwa hiyo wewe unaogopa mavi mbona umeyabeba tumboni mwakounafurahia mkono wa kutawadhia mavi.ww pwagu kweli
Na wewe ume comment, register ya Hulu 7 tayariLissu kwisha kazi yake.
unafurahia mkono wa kutawadhia mavi.ww pwagu kweli[/QUOT...........Thinking ndo maana tulipigw sn n waalimu huko mashuleni kulazimishw kundikis right hand
Kama haufai kaukate wa kwako ubaki na mmojaunafurahia mkono wa kutawadhia mavi.ww pwagu kweli
Lissu sio kiumbe wa kawaida. Lissu ni vichwa 365¼ vya watu wale wanaopatikana mtaa wa Lumumba
Hatuishi kwa imani ila kwa neema. Wewe kama zama hizi za Science and Technology bado unaishi kwa kutegemea "Superstition" then upo dunia hii kimakosa sana.unafurahia mkono wa kutawadhia mavi.ww pwagu kweli
Akihamia tu ccm bx hzo rangu mnampaka mtamfuta kama ambavyo mliweza kumpaka mavi lowa.sa na mkamfuta kwa sekunde tu kumfukiza manukato yote ya ufipaKatika mahojiano aliyofanya katika Radio moja huko Marekani, Tundu Lissu anaonekana kuandika notes kwa kutumia mkono wa kushoto. Sijui ni kwa sababu ya majeraha ya mkono wa kulia au ni kwamba ndiyo mkono wake kawaida wa kuandikia.
Kama ni mtumiaji wa mkono wa kushoto basi wabaya wake wajipange hasa, hawa jamaa nasikiaga kichwani si mchezo!
Nilivyoona tu nikajisemea sasa hii inamake sense kwa nini mtu mmoja anapelekesha watu na heshima zao.