Ngalikihinja
JF-Expert Member
- Sep 1, 2009
- 31,244
- 31,351
Hivi ............Tuna mihimili mingapi katika nchi yetu.......??? Nauliza kwa sababu
1. ...............Jaji mkuu anateuliwa na raisi.......... hiyo haimnyimi uhuru wa maamuzi hasa inapotokea serikali inatakiwa ibanwe....???
2. ....... Raisi ana uwezo wa kuvunja bunge lililochaguliwa na wananchi ........... hiyo haiwezi ikamtisha mbunge katika utoaji hoja bungeni...........????
3. ..........Spika ............ anatoka chama tawala ambaye akifanya tofauti tu.......anaitwa kichama na kubanwa na ikiwezekana anaweza akafukuzwa uanachama...........
Kwa maana hiyo mihimili miwili bado kwa namna moja au nyingine inaripoti kwenye muhimili mmoja (serikali)............. sasa kama hali ndo hiyo kwa nini tunasema tuna mihimili mitatu....???
NAWASILISHA HOJA BINAFSI
1. ...............Jaji mkuu anateuliwa na raisi.......... hiyo haimnyimi uhuru wa maamuzi hasa inapotokea serikali inatakiwa ibanwe....???
2. ....... Raisi ana uwezo wa kuvunja bunge lililochaguliwa na wananchi ........... hiyo haiwezi ikamtisha mbunge katika utoaji hoja bungeni...........????
3. ..........Spika ............ anatoka chama tawala ambaye akifanya tofauti tu.......anaitwa kichama na kubanwa na ikiwezekana anaweza akafukuzwa uanachama...........
Kwa maana hiyo mihimili miwili bado kwa namna moja au nyingine inaripoti kwenye muhimili mmoja (serikali)............. sasa kama hali ndo hiyo kwa nini tunasema tuna mihimili mitatu....???
NAWASILISHA HOJA BINAFSI