HIVI TCU WAMETANUA GOLI

HIVI TCU WAMETANUA GOLI

joseph1989

JF-Expert Member
Joined
May 4, 2014
Posts
18,942
Reaction score
40,171
Hivi na mm naomba mnisaidie, Mdogo wangu ana three ya14 ana DEE, hajafikisha point 4 lkn kachaguliwa bsc in accountancy CBE vipi TCU wameshusha pointi.Mpaka sasa siamini nipo safarini hebu nisaidieni
 
Hivi na mm naomba mnisaidie, Mdogo wangu ana three ya14 ana DEE, hajafikisha point 4 lkn kachaguliwa bsc in accountancy CBE vipi TCU wameshusha pointi.Mpaka sasa siamini nipo safarini hebu nisaidieni
kachaguliwa nachuo ila hajawa approved na tcu,
 
TCU watakuja kukagua na kuwaondoa chuoni kama walivyofanya mwaka jana, yawezekana hawana approval ya TCU
 
Makosa mawili hayafuti kosa, hivyo basi kuna uwezekano wa hao kuja kunaswa kwenye uhakiki utakaofuatia. Kama alivyosema mkuu hapo juu-TCU watapitia tena wanafunzi wote walio kuwa registered wa mwaka wa kwanza. Madahara yake unajua ukinaswa watakutoa tu na kama una mkopo basi utadaiwa. Hapo tunasema jipime mwenyewe, tafakari na amua. Kwenye ajira pia vyeti huhakikiwa siku hizi kabla ya usaili na kuingizwa kwenye malipo-sioni usalama hapo unatoka wapi.
 
Back
Top Bottom