Mshume Kiyate
JF-Expert Member
- Feb 27, 2011
- 6,766
- 894
Wadau JF.
Nimeangalia TBC kipindi cha matukio ya vita kati ya nchi yetu Tanzania dhidi ya Uganda!
Sehemu kubwa ya vita inaonekana jeshi la Tanzania likuwa linateka maeneo kiraisi upinzani ulikuwa hamna, hivi kuna kumbukumbu zozote zinaonyesha Tanzania ilipoteza Askari wa ngapi! Na Mateka walikuwa wangapi walipatikana na Askari wangapi walipata vilema vya maisha!
Na vita vilipiganwa muda gani, mwenye ufahamu wa masuala haya tunaomba hatufahamishe.
Nawakilisha
Nimeangalia TBC kipindi cha matukio ya vita kati ya nchi yetu Tanzania dhidi ya Uganda!
Sehemu kubwa ya vita inaonekana jeshi la Tanzania likuwa linateka maeneo kiraisi upinzani ulikuwa hamna, hivi kuna kumbukumbu zozote zinaonyesha Tanzania ilipoteza Askari wa ngapi! Na Mateka walikuwa wangapi walipatikana na Askari wangapi walipata vilema vya maisha!
Na vita vilipiganwa muda gani, mwenye ufahamu wa masuala haya tunaomba hatufahamishe.
Nawakilisha