Hivi Tanzania ni Makaburini?

Hivi Tanzania ni Makaburini?

The Evil Genius

JF-Expert Member
Joined
Mar 21, 2014
Posts
6,151
Reaction score
20,068
Naomba kuuliza, hivi Tanzania ni makaburi ya kuzika watu?

Mtu akiugua anapelekwa kutibiwa ulaya, pesa wanaficha ulaya, majengo wananunua huko ulaya na marekani.

Kusoma wanasoma ulaya na marekani lakini wakifa tu wanakuja kuzikwa Tanzania.

Je Tanzania ni Makaburini, kama watu wanasoma, kutibiwa na kuishi ulaya kwa nini wakifa wanarudishwa Tanzania?

Sitaki kuamini kama naishi nimezaliwa na naishi makaburini.
 
Naomba kuuliza, hivi Tanzania ni makaburi ya kuzika watu?

Mtu akiugua anapelekwa kutibiwa ulaya, pesa wanaficha ulaya, majengo wananunua huko ulaya na marekani.

Kusoma wanasoma ulaya na marekani lakini wakifa tu wanakuja kuzikwa Tanzania.

Je Tanzania ni Makaburini, kama watu wanasoma, kutibiwa na kuishi ulaya kwa nini wakifa wanarudishwa Tanzania?

Sitaki kuamini kama naishi nimezaliwa na naishi makaburini.
Nchi ya ahadi.
 
Naomba kuuliza, hivi Tanzania ni makaburi ya kuzika watu?

Mtu akiugua anapelekwa kutibiwa ulaya, pesa wanaficha ulaya, majengo wananunua huko ulaya na marekani.

Kusoma wanasoma ulaya na marekani lakini wakifa tu wanakuja kuzikwa Tanzania.

Je Tanzania ni Makaburini, kama watu wanasoma, kutibiwa na kuishi ulaya kwa nini wakifa wanarudishwa Tanzania?

Sitaki kuamini kama naishi nimezaliwa na naishi makaburini.
Akizikwa ulaya wajukuu watapata wapi nauli ya kwenda kutambika makaburini?
 
Huko kwenda ulaya ndiko kunakowafanya washindwe kuboresha hospital za ndani ili zitoe huduma vizuri, inashangaza na aibu kiongozi unatibiwa sehemu nzuri wakati walipa kodi wako hawana hata madawa mahospitalini na huduma muhimu. Africa ni bara lenye viongozi wa ajabu wasio fikiria mbele yani badala uboreshe chako u naenda nje, am sure viongozi wetu kifo kisingekuwepo ulipie hela wangewahenya wananchi Mpaka basi
 
Swali lako lina Mashiko
Lakini sidhani kama litapata jibu
 
Naomba kuuliza, hivi Tanzania ni makaburi ya kuzika watu?

Mtu akiugua anapelekwa kutibiwa ulaya, pesa wanaficha ulaya, majengo wananunua huko ulaya na marekani.

Kusoma wanasoma ulaya na marekani lakini wakifa tu wanakuja kuzikwa Tanzania.

Je Tanzania ni Makaburini, kama watu wanasoma, kutibiwa na kuishi ulaya kwa nini wakifa wanarudishwa Tanzania?

Sitaki kuamini kama naishi nimezaliwa na naishi makaburini.
Naomba kuuliza, hivi Tanzania ni makaburi ya kuzika watu?

Mtu akiugua anapelekwa kutibiwa ulaya, pesa wanaficha ulaya, majengo wananunua huko ulaya na marekani.

Kusoma wanasoma ulaya na marekani lakini wakifa tu wanakuja kuzikwa Tanzania.

Je Tanzania ni Makaburini, kama watu wanasoma, kutibiwa na kuishi ulaya kwa nini wakifa wanarudishwa Tanzania?

Sitaki kuamini kama naishi nimezaliwa na naishi makaburini.
Naomba kuuliza, hivi Tanzania ni makaburi ya kuzika watu?

Mtu akiugua anapelekwa kutibiwa ulaya, pesa wanaficha ulaya, majengo wananunua huko ulaya na marekani.

Kusoma wanasoma ulaya na marekani lakini wakifa tu wanakuja kuzikwa Tanzania.

Je Tanzania ni Makaburini, kama watu wanasoma, kutibiwa na kuishi ulaya kwa nini wakifa wanarudishwa Tanzania?

Sitaki kuamini kama naishi nimezaliwa na naishi makaburini.
Nimeandika reply ya huu uzi ila nimeifuta. Fikiria ni kwa nini?
 
Dah! kumbe kama watu hawakupendi ukifa ndio unapigwa vijembe namna hii?
 
Back
Top Bottom