Sie tuna laana ndiyo maana mvua hazinyeshi huku niliko.Yaani ndo maana ardhi siku hizi ukipanda huvuni kitu mijitu michawi na mifisadi imechafua sana huu udongo wa TZ
Muislam huzikwa popote anapokufia ni sheria kwetu vioja upande wa pili daaah watampeleka kwao sitimbi kabisa
bado hajafa kiukweliMbona balali hajazikwa tz
balali ni member wa jf,na huwa anachangia mada mbalimbaliWe nani kakwambia Balal kafa mkuu? Yupo anakula upepo wa baridi unaochujwa,we kula makande ulale tu
hata masalia ya kale ya binadamu huwa yanagunduliwa Tanzania,olduvai gorge kwa.mfano
kwa hiyo inawezekana dunia ya zamani walikuwa wanaitumia Tanzania kama sehemu ya makaburi,haiwezekani mifupa ya kale ipatikane huku tu,sio ulaya,Tanzania.ilikuwa kaburi la dunia
kaburi la duniaUkweli unaoumaaKama dunia ingekuwa mwili wa binadamu basi Tanzania ingekuwa matako au Makalio kabisa yaani ni sehemu ya kutolea uchafu sugu wa mwilini
Mkuu umenifanya nicheke kwa sautiTanzania ni mlango wa kuingilia peponi

hahaha naona umeficha neno lenyewe mkuuKama dunia ingekuwa mwili wa binadamu basi Tanzania ingekuwa matako au Makalio kabisa yaani ni sehemu ya kutolea uchafu sugu wa mwilini
Kama MTU wa kwanza aliishi hapa, je huoni kwamba pako jirani sana na peponi?Mkuu umenifanya nicheke kwa sauti![]()
![]()
Kama MTU wa kwanza aliishi hapa, je huoni kwamba pako jirani sana na peponi?Mkuu umenifanya nicheke kwa sauti![]()
![]()
Mm Ngoja nipite tuu...Siongei saana maana ake nina buku mbili tu hapa mfukoni