Hivi sisi watu weusi tulikuwa wapi? Tuna laana gani?

ni kwa sababu wazazi kama wewe mlifundishwa hivyo nanyi mnawafundisho hivyo hivyo:garbage in,garbage out!

Afu huyu nae anataraji kuwa mzazi NA akili za hivi.......

Mtoto akiwa NA low self-esteem tunalalama..Donald triumph alikuwa right kabisa kwa muafrika kama huyu atawaliwe tena kwa mijeledi
 
Wazungu wa zama hizo walifanya kazi moja kubwa saana kuliko hata wa sasa ambayo hata cjui niiwekeje ila hata mtoto mdogo akimuona mzungu basi anakuwa mtu mwingine utasema kaona nini cjui,hii ni athari iliyoanzia kwa mababu na mababu na inaendelea kutafuna kizazi hadi kizazi.
Katika hali hiyo mzungu ataendelea tu kututawala.
atakutawala wewe kwa kuwa huwezi kujitawala wewe binafsi,na ndio waafrika wanakutawala kimawazo na hata mzungu akija inakuwa ni kazi rahisi kwake!
"Emmancipate Yourself From Mental Slavery"
Bob Marley
 
nisha kujibu swali lako,sasa inshu ya kwanini hatuku export(japo ni uongo) ni wewe wa kuifanyia kazi
Hahaha...tokea tulivyokuwa connected na wazungu socially na economically sisi tulibaki kuwa producers wa raw materials na users wa manufactured goods ambavyo hata havikuwa na umuhimu. Waliokuwa wanaexport raw materials from Africa ni wazungu wenyewe sio sisi.

Tuliexport kwa meli zipi au usafiri gani tuliokuwa nao na kwa ubavu upi?

Sasa kama ni uongo tuwekee ukweli hapa.
 
back to topic,nakubaliana na mseveni 100% ujinga wa mababu zetu ulikuwa fursa kwa wazungu kuwatengenezea mfumo wa umimi katika nafsi zao,ni umimi huo ndo unatutesa mpaka sasa.
umepelekea tuishi kwa mgongo wa wazungu,kwa mjuavyo anayekulisha ndio anaye ku control

Museveni ndo anatia kichefuchefu yeye anabaka tu democrasia
 
Wakati Mungu anaumba dunia... Alimimina madini karibu yote Africa, rutuba, hali ya hewa nzuri, moto,maziwa na wazungu walipewa Aridhi isiyo na kitu na majanga ya kimazingira tele. Waarabu wakapewa mafuta tele. Wazungu wanapewa maarifa tele, watu wa Asia wakapewa maarifa kidogo sana, waafrica wakapewa, ujinga wa kutojiamini na walichonacho. Waafrica wakatawaliwa kilahisi... Hawa watu weupe wakaja na siraha zao zilizokuwa zimebebwa na dhana ya ustaarabu. Zana hizo ni dini, na Elimu yao, hivi kwa pamoja vikaitwa ustaarabu. Mpaka Leo tunahangaika na huu upumbavu, watu wetu wanasoma ili wavae tai maofisini waendeshe gari, nakukaa mijini wakati kijijini kwao kumejaa madini tele. Utaona mikataba ilisosainiwa wakati wa ukoloni ya ulaghai mf. Mangungo wa Musovero....ndio sawa na Mikataba iliyosainiwa na viongozi wetu miaka ya karibuni ambayo inamilikisha wazungu migodi 100% na kuchimba milele.
Tutatokaje hapa?.... Inabidi tuitafute historia yetu, tumeipoteza, kwa muktadha huu tumekuwa kama housegirl kwa mwenye nyumba. Hatuwezi kutoka.
Idea ya uongo hii ya mungu wa uislamu/ukristo ni moja ya sababu Africa haiendelei.

Idea ya huyu mungu imehalalisha utumwa na kupandikiza ukondoo sana miongoni mwa waafrika
 
Hata mzungu alikuwa zoba NA mjinga kabla ya watu wa Asia kuzindua ustaarabu NA wenyewe kuufuata...

Unaudhalilisha uafrika wako NA kama waasia wangekuwa NA wazo km lako...bhasi wangekuwa maskini zaidi yetu..

STOP BEING STUPID
** TANZANIA KWANZA **
hawajuhi hayo:
a)dola ya assyria ilitawala dunia
b)dola ya babeli ikaiangusha assyria na kutawala dunia
c)dola ya persia ikiangusha babeli...
d)dola ya ugiriki ikaiangusha persia
e)dola ya roma ikaiangusha ugiriki,roma ikaangushwa na ottoman empire,then,uingereza,ufaransa,ujerumani,marekani na kesho china anakuja!kila mtu ana kibönde wake!huwezi jua kuna siku mtu mweusi atatawala duni kama babu yetu Nimrodi
Xixi tunajua kupiga papuchi tu amna kitu kingine na tamaa ya madaraka
mkuu labda wewe na wa kwenu
Afu huyu nae anataraji kuwa mzazi NA akili za hivi.......

Mtoto akiwa NA low self-esteem tunalalama..Donald triumph alikuwa right kabisa kwa muafrika kama huyu atawaliwe tena kwa mijeledi
yeye mwenye kipofu,atamwongozaje chongo?
 
Afu huyu nae anataraji kuwa mzazi NA akili za hivi.......

Mtoto akiwa NA low self-esteem tunalalama..Donald triumph alikuwa right kabisa kwa muafrika kama huyu atawaliwe tena kwa mijeledi
triumph = Trumph.
muafrika = Mwafrika.
NA = na
 
Hahaha...tokea tulivyokuwa connected na wazungu socially na economically sisi tulibaki kuwa producers wa raw materials na users wa manufactured goods ambavyo hata havikuwa na umuhimu. Waliokuwa wanaexport raw materials from Africa ni wazungu wenyewe sio sisi.

Tuliexport kwa meli zipi au usafiri gani tuliokuwa nao na kwa ubavu upi?

Sasa kama ni uongo tuwekee ukweli hapa.
tatizo lako ukisha jibiwa ulicho uliza unaruka unaenda kwengine!hoja yangu ni moja tu:tulikuwa na vya kwetu vilivyo tusaidia kulingana na sayansi yetu,teknolojia0na mazingira yetu!walicho tuzidi wenzetu sayansi yao ilikuwa juu na hivyo hata tekinolojia yao pia!kwahio tulipokutana vichache vya kwetu vikawa na tija kwao ila vingi vyao vikawa na tija kwetu!
Umejuaje mimi ni mzazi? Halafu Tuliwafundisha kuogopa wazungu???
kwa sababu ya ulicho kiandika hapo awali
Idea ya uongo hii ya mungu wa uislamu/ukristo ni moja ya sababu Africa haiendelei.

Idea ya huyu mungu imehalalisha utumwa na kupandikiza ukondoo sana miongoni mwa waafrika
kuna haja nikabandika bandiko ili kurefute hii nadharia kuwa we cursed and it is there in the holy books..kuna haja ya kuwafungua watu akili
Hahaha...twende taratibu naona kama unaanza kupanic. Mbona mada yangu na maswali yanaeleweka tu?
ahahaha,nakujibu,nikisha kujibu unarukia hoja nyingine!usihofu majibu yako yote ninao iwe katika dini,biolojia au siasa
 
Hata mzungu alikuwa zoba NA mjinga kabla ya watu wa Asia kuzindua ustaarabu NA wenyewe kuufuata...

Unaudhalilisha uafrika wako NA kama waasia wangekuwa NA wazo km lako...bhasi wangekuwa maskini zaidi yetu..

STOP BEING STUPID
** TANZANIA KWANZA **
Hahaha...wa Asia waliupeleka ustaarabu gani Europe? Nchi zote za ulaya zilizoitawala Afrika ustaarabu wake ulitoka Ugiriki na Urumi (Kwa maana ya Elimu ya darasani na ya kivita) Isipokuwa dini (iliyotoka mashariki ya kati) SIO ASIA

Na hata hivyo wazungu wa ulaya(wajerumani,wafaransa,waingereza,wabelgiji n.k)hawakupokea huo ustaarabu mpya kwao kijinga na kizoba.

Tafakari vizuri.
 
tatizo lako ukisha jibiwa ulicho uliza unaruka unaenda kwengine!hoja yangu ni moja tu:tulikuwa na vya kwetu vilivyo tusaidia kulingana na sayansi yetu,teknolojia0na mazingira yetu!walicho tuzidi wenzetu sayansi yao ilikuwa juu na hivyo hata tekinolojia yao pia!kwahio tulipokutana vichache vya kwetu vikawa na tija kwao ila vingi vyao vikawa na tija kwetu!

kwa sababu ya ulicho kiandika hapo awali

kuna haja nikabandika bandiko ili kurefute hii nadharia kuwa we cursed and it is there in the holy books..kuna haja ya kuwafungua watu akili

ahahaha,nakujibu,nikisha kujibu unarukia hoja nyingine!usihofu majibu yako yote ninao iwe katika dini,biolojia au siasa
Wewe ndio unakuwa na ugumu wa kuelewa basic point ya mada yangu,umeshakiri kuwa walichotuzidi wenzetu ni elimu na technolojia yao kuwa juu,si ndio maana nikakuambia walikuwa wabunifu sana kuliko sisi....KWANINI WALITUZIDI KILA SEKTA? BABU ZETU WALIKUWA WAPI? okey baada ya kuondoka kwao hao wakoloni je sisi tumegundua yapi tukiwa na uhuru huu wote na ni yapi kutoka afrika(mfano bidhaa au huduma) yanayotukuzwa na kutumiwa na mataifa mengine duniani?

Hayo ndio maswali yangu ya msingi.
 
Noah 9:24-29: 24And Noah awoke from his wine, and knew what his younger son had done unto him.

25And he said, Cursed be Canaan; a servant of servants shall he be unto his brethren.
 
Obama
Martin luther king jr
Mandela
mugabe
Nyerere
Watafakar kwanza hao afu tuendelee na mada
Sikufichi mkuu. Kama sio mapinduzi ya technology, mpaka leo tungekua watumwa direct. Hao wakina nyerere ilikua zuga tu. Obama kuwa ràis wa marekani ni mtego. Wazungu Wana akili kama mchwa. Mandela wangeamua kumuua wangemuua
 
Kuna mtu aliwahi niambia. Hata vijiko vikitengenezewa bongo..bado vitapigwa chata "MADENI CHINA" (made in china) ili wauze.. hatari
 
Hahaha...wa Asia waliupeleka ustaarabu gani Europe? Nchi zote za ulaya zilizoitawala Afrika ustaarabu wake ulitoka Ugiriki na Urumi (Kwa maana ya Elimu ya darasani na ya kivita) Isipokuwa dini (iliyotoka mashariki ya kati) SIO ASIA

Na hata hivyo wazungu wa ulaya(wajerumani,wafaransa,waingereza,wabelgiji n.k)hawakupokea huo ustaarabu mpya kwao kijinga na kizoba.

Tafakari vizuri.
hujui halafu hujui kuwa hujui,ustaarabu wa kwanza ulianzia katikati ya mito tigrisi na euphrati
Wewe ndio unakuwa na ugumu wa kuelewa basic point ya mada yangu,umeshakiri kuwa walichotuzidi wenzetu ni elimu na technolojia yao kuwa juu,si ndio maana nikakuambia walikuwa wabunifu sana kuliko sisi....KWANINI WALITUZIDI KILA SEKTA? BABU ZETU WALIKUWA WAPI? okey baada ya kuondoka kwao hao wakoloni je sisi tumegundua yapi tukiwa na uhuru huu wote na ni yapi kutoka afrika(mfano bidhaa au huduma) yanayotukuzwa na kutumiwa na mataifa mengine duniani?

Hayo ndio maswali yangu ya msingi.
na jibu langu la msingi nishakujibu:KUKUSAIDIA ZAIDI TAFUTA KITABU NA UKISOME:
"HOW EUROPE UNDERDEVOLOPED AFRICA"
Mtu mweusi hugundua style za Mibinuko nyakati za kufirigisana tu!
NDIO MAANA UNASHABIKIA CCM
 
Back
Top Bottom