Tanganyika1
JF-Expert Member
- May 10, 2011
- 422
- 86
Nadhani mtu akiangalia jinsi mambo yanavyoendeshwa hapa nchini anaweza kuumwa kichwa. Binafsi nlikua nawapa heshima kubwa sana viongozi wetu wa kisiasa, lakini kwa kilichotokea pale UDOM sinahamu na viongozi wetu. Waziri Kawambwa na mwenzake Nahodha walikuja kumaliza mgomo uliokua ukiendelea pale UDOM na kwa kauli Waziri Kawambwa alitamka kuwa field work (practical training) itkuwepo kwa wanafunzi wote ambao hawakufanya au hawakupangiwa, watu wakafurahia. punde hivi majuzi kumepokewa barua kutoka TCU kuwa hakutokua na practical training kwa wote bali ni kozi zile ambazo zilielekezwa tangu mwanzo na si vinginevyo. Sasa swali ni je, huvi hawa wanasiasa huwa wanakurpuka, hawajui haya mambo, au ni waongo? naomba mchango wenu wanjamii.
:A S-confused1::A S-confused1: