Hivi shida nini?

anthony_art

JF-Expert Member
Jul 9, 2020
992
362
Wakuu hamjambo!!?

Naomba kusaidiwa, hivi tatizo Ni Nini maana nimechaguliwa chuo Cha maji lakin mimeenda wananiambia sina sifa za kujiunga na hicho chuo kwa sababu nimesoma PCB mpk ningekuwa nimesoma PCM, sasa kwanini walinichagua wakijua sina vigezo. TANZANIA YA SASA MAMA
 
Sasa wew PCB

Hiyo biology unaipeleka dawasco iweje,,,

Au mabomba na mita za maji zimekuwa binadamu skuiz?
 
Kuna jamaa alichaguliwa MD UDOM na alikuwa amesoma pcm alipofika chuo akaomba kwenda ualimu
 
Sasa wew PCB

Hiyo biology unaipeleka dawasco iweje,,,

Au mabomba na mita za maji zimekuwa binadamu skuiz?
Kama vigezo ndio hivi, unadhani tatizo Ni mimi sikuelewa lugha au Ni wao hawakuelewa walichoandika? Alafu nahisi wewe ndie yule jamaa aliyekuwa ananiambia hayo maswala kipindi mimeenda pale chuoni
Screenshot_20201117-234427~2.jpg
 
  • Thanks
Reactions: Cyb
Mkuu mi nimehitimu apo, Yani ni hivi...Kwa ambae anaenda kusoma degree pale lazima awe amesoma PCM coz ile faculty ni ya engineering
.
Ila kama unaenda diploma, wanachukua ata waliosoma PCB,CBG,CBA,EGM na comb. zingine za sayansi
.
Af pia kwan we hukusoma guideline kabla ya kuapply mkuu, We wapi uliona mtu wa PCB anaenda kusoma bachelor ya engineering!!!??
.
Pole kwa Maswahibu

Sent from my Nokia 2.1 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom