Kuna sheria ipi ya madhara mabayo inaweza kutumika kumsaidia mtu kama lwakatare na kesi inayomkabili kama akishinda ? na anaweza dai kama kiasi gani cha fidia kutokana na madhara hasa ya kiafya na kisaikolojia aliyoyapata?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.