Hivi ' Serious ' kabisa Serikali kupitia Rais JPM na Waziri Mkuu wake ' wamelibariki ' hili jambo la ' Aibu ' huko Dodoma?

Hivi Waziri Jafo alishindwa nini tu Kuomba radhi kwa Mheshimiwa Rais kwa kuchelewa Kumaliza Ujenzi wa Jengo la Wizara ili waendelee kubakia Kwanza huko walikokuwa na wakishamaliza Ujenzi ndiyo wahamie hapo eneo la Mitumba?

Yaani kabisa Wizara kama ya Jafo inakuwa katika ' Mabati ' halafu linaonekana ni jambo zuri na hapo hapo tena Waziri Mkuu nae anaenda Kuitembelea hiyo hiyo Ofisi ya ' Mabati ' tena bila hata ya chembe ya ' Aibu ' hasa kwa heshima kubwa ya Cheo chake hicho.

Kwa mtizamo wangu nahisi kwamba japo Mheshimiwa Rais alikasirika vile na kuamua kuwa Ofisi za hiyo Wizara ziwe hivyo hivyo katika ' Mabati ' hayo ila nadhani hakumaanisha hivyo na pengine angeombwa radhi pale pale huku akieleweshwa vyema juu ya huo Ujenzi basi angeelewa na kuwapa muda ila hapa tatizo naliona kwa Waziri husika wa hiyo Wizara.

Kama nyie Watu wa Serikalini hasa hiyo Wizara ya ' Mabati ' mnaona kuwa kwa kuhamia hapo na hivyo hivyo Jengo likiwa ni ' Full ' mwendo wa ' Mabati ' ni Sifa au Kuonyesha ' Utiifu ' kwa Mheshimiwa Rais badi jueni kuwa kama kuna ' Aibu ' kubwa ambayo kwa Siku za hivi karibuni Tanzania imepata ni Kitendo hicho cha ' Kipuuzi ' kabisa cha kuhamia ' Kinafiki ' na ' Kiuwoga ' hapo ' Mabatini ' Kwenu.

Kwa huu ' Upuuzi Upuuzi ' wenu ndiyo wengine tukitoka tu nje ya mipaka ya Tanzania huwa tunaukana ' Utanzania ' Wetu kwa muda na ' Kujilipua ' tu kuwa tunatoka Mataifa mengine kwani siyo Siri kama kuna nchi ambayo huko nje inaonekana ni ya ' Kimbwigira / Kishamba ' kuliko zingine zote basi ni Tanzania na sababu Kubwa ni aina hizi hizi za mambo yenu ya ' Kipuuzi ' kama haya.

Halafu na Wewe Waziri Mkuu tena Mwana Simba Sports Club mwenzangu kabisa na Mwalimu mzuri sana tu ' Kitaaluma ' hebu basi Siku zingine uwe unapima ' Matendo ' yako ya Kiserikali na kama kuna mahala ukiona hapako sawa basi usiwe ' Muoga ' kumwambia au kumshauri Bosi wako Mkuu Mheshimiwa Rais kuliko na Wewe kujitia ' Aibu ' na Suti zako kabisa na kwenda ' Kuzindua ' Wizara ya ' Mabati ' kama hiyo ya Waziri Jafo. Umeniangusha sana Mheshimiwa Waziri Mkuu na kwa ' Umefeli ' mno tu kwa hilo.

Hivi ni nani ' ameiroga ' Tanzania yetu hii na hasa katika ' Mfumo ' wetu mzima wa Akili na matumizi yake? Yaani kabisa Watu ' Wasomi ' na ' Misuti ' yenu mnakubali kwenda Kujenga ' Mabati ' na Kuweka Vibao vya Ofisi na Idara zake katika Jengo ambalo bado linaendelea na Ujenzi wake halafu mnakaribisha kabisa Wananchi kupata Huduma hapo huku ' mkijisifu ' kabisa na ' Makamera ' kedekede?

Natamani mno ' Kenneth ' akimalizana na Mtwara, Lindi na Dar es Salaam kuanzia leo Usiku hadi Jumanne ijayo basi moja kwa moja ' ahamie ' Mkoani Dodoma na aende pale pale katika Wizara ' Mabati ' kisha ' afagie ' kila Kitu pale ili hayo ' Mabati ' yao waje kuyaokota Baharini Dar es Salaam yakiwa ' yanaelea ' Majini na ikiwezekana pia ' Kenneth ' aondoke na baadhi ya Watendaji Wakuu hadi Mtoni na huko Baharini ili Siku zingine Akili zao ziwakae sawa.

Nawasilisha.
Hivi kumbe siku hizi Kuna treatment ya aina ya mtu na wanae ee? Mimi nilidhani wote ni watu wazima na pia wote ni viongozi so wangeweza kuheshimiana
 
Uzuri huyu mzee alishakiri mwenyewe kwamba yeye ni kichaa au mwendawazimu ukipenda!
Maamuzi mengi ya kiongozi mkuu yanasababisha hasara au majonzi kwa jamii anayoingoza....majuzi hapa katudanganya ameirudisha ile ndege ya serikali (foker)ATCL ili ikawapige "jeki" kumbe kichaa wa watu alikuwa anaimezea mate ile "Dreamliner" ya ATCL.....ni shetani tu anaweza kumuelewa huyu mwendawazimu wa nchi yetu.
La kushangaza tu hapa ni kuona watanzania watao milioni 59 wakikubali kuongozwa na kichaa au mwenda wa Z
 
Hii iwe funzo kwamba ukipewa majukumu basi simamia kwa nguvu ili yakamilike kwa wakati. Raid alikuwa mkali mpaka kuagiza jeshi kuingilia kati kazi za ujenzi zinapodorora sasa kwanini kilasiku yeye ndiyo aingilie kati viongozi wengine hawawezi??

Wakati mwingine inafaa kiongozi afanye maamuzi ya kibange bange ili mambo yawe yanakamilika kwa wakati. Siyo jambo zuuri lkn ni ok ukizingatia uzembe wa watendaji walio wengi.

Kukataa kujiita mtanzania huo ni upuuzi wako mtoa mada,nyie ndowale mnaopeleka wachumba nyumba ya jirani kujidai ndiyo kwenu.
Sasa naelewa why mama wa kambo huwa wanawachoma Moto watoto pale wanapopoteza mia tano baada ya kutumwa dukani_ kumbe kunasehemu wanajifunza bwana
 
Hivi Waziri Jafo alishindwa nini tu Kuomba radhi kwa Mheshimiwa Rais kwa kuchelewa Kumaliza Ujenzi wa Jengo la Wizara ili waendelee kubakia Kwanza huko walikokuwa na wakishamaliza Ujenzi ndiyo wahamie hapo eneo la Mitumba?

Yaani kabisa Wizara kama ya Jafo inakuwa katika ' Mabati ' halafu linaonekana ni jambo zuri na hapo hapo tena Waziri Mkuu nae anaenda Kuitembelea hiyo hiyo Ofisi ya ' Mabati ' tena bila hata ya chembe ya ' Aibu ' hasa kwa heshima kubwa ya Cheo chake hicho.

Kwa mtizamo wangu nahisi kwamba japo Mheshimiwa Rais alikasirika vile na kuamua kuwa Ofisi za hiyo Wizara ziwe hivyo hivyo katika ' Mabati ' hayo ila nadhani hakumaanisha hivyo na pengine angeombwa radhi pale pale huku akieleweshwa vyema juu ya huo Ujenzi basi angeelewa na kuwapa muda ila hapa tatizo naliona kwa Waziri husika wa hiyo Wizara.

Kama nyie Watu wa Serikalini hasa hiyo Wizara ya ' Mabati ' mnaona kuwa kwa kuhamia hapo na hivyo hivyo Jengo likiwa ni ' Full ' mwendo wa ' Mabati ' ni Sifa au Kuonyesha ' Utiifu ' kwa Mheshimiwa Rais badi jueni kuwa kama kuna ' Aibu ' kubwa ambayo kwa Siku za hivi karibuni Tanzania imepata ni Kitendo hicho cha ' Kipuuzi ' kabisa cha kuhamia ' Kinafiki ' na ' Kiuwoga ' hapo ' Mabatini ' Kwenu.

Kwa huu ' Upuuzi Upuuzi ' wenu ndiyo wengine tukitoka tu nje ya mipaka ya Tanzania huwa tunaukana ' Utanzania ' Wetu kwa muda na ' Kujilipua ' tu kuwa tunatoka Mataifa mengine kwani siyo Siri kama kuna nchi ambayo huko nje inaonekana ni ya ' Kimbwigira / Kishamba ' kuliko zingine zote basi ni Tanzania na sababu Kubwa ni aina hizi hizi za mambo yenu ya ' Kipuuzi ' kama haya.

Halafu na Wewe Waziri Mkuu tena Mwana Simba Sports Club mwenzangu kabisa na Mwalimu mzuri sana tu ' Kitaaluma ' hebu basi Siku zingine uwe unapima ' Matendo ' yako ya Kiserikali na kama kuna mahala ukiona hapako sawa basi usiwe ' Muoga ' kumwambia au kumshauri Bosi wako Mkuu Mheshimiwa Rais kuliko na Wewe kujitia ' Aibu ' na Suti zako kabisa na kwenda ' Kuzindua ' Wizara ya ' Mabati ' kama hiyo ya Waziri Jafo. Umeniangusha sana Mheshimiwa Waziri Mkuu na kwa ' Umefeli ' mno tu kwa hilo.

Hivi ni nani ' ameiroga ' Tanzania yetu hii na hasa katika ' Mfumo ' wetu mzima wa Akili na matumizi yake? Yaani kabisa Watu ' Wasomi ' na ' Misuti ' yenu mnakubali kwenda Kujenga ' Mabati ' na Kuweka Vibao vya Ofisi na Idara zake katika Jengo ambalo bado linaendelea na Ujenzi wake halafu mnakaribisha kabisa Wananchi kupata Huduma hapo huku ' mkijisifu ' kabisa na ' Makamera ' kedekede?

Natamani mno ' Kenneth ' akimalizana na Mtwara, Lindi na Dar es Salaam kuanzia leo Usiku hadi Jumanne ijayo basi moja kwa moja ' ahamie ' Mkoani Dodoma na aende pale pale katika Wizara ' Mabati ' kisha ' afagie ' kila Kitu pale ili hayo ' Mabati ' yao waje kuyaokota Baharini Dar es Salaam yakiwa ' yanaelea ' Majini na ikiwezekana pia ' Kenneth ' aondoke na baadhi ya Watendaji Wakuu hadi Mtoni na huko Baharini ili Siku zingine Akili zao ziwakae sawa.

Nawasilisha.

Wapi ndugu yetu wanakotuona nchi ya kishamba, wengine tunazijua nchi nyingi za Kiafrika kuliko ulaya na Asia, ipi nchi bora kuliko Tanzania kusini mwa jangwa Sahara ambayo ni nzuri kuliko Tanzania ambayo watu wake hawana ubaguzi wa kabila na dini watu wanaishi maisha yenye mahusiano mazuri pamoja na umaskini.
 
Hii iwe funzo kwamba ukipewa majukumu basi simamia kwa nguvu ili yakamilike kwa wakati. Raid alikuwa mkali mpaka kuagiza jeshi kuingilia kati kazi za ujenzi zinapodorora sasa kwanini kilasiku yeye ndiyo aingilie kati viongozi wengine hawawezi??

Wakati mwingine inafaa kiongozi afanye maamuzi ya kibange bange ili mambo yawe yanakamilika kwa wakati. Siyo jambo zuuri lkn ni ok ukizingatia uzembe wa watendaji walio wengi.

Kukataa kujiita mtanzania huo ni upuuzi wako mtoa mada,nyie ndowale mnaopeleka wachumba nyumba ya jirani kujidai ndiyo kwenu.
Hakuna funzo lolote hapo ukiwa na kiongozi wz kanda pendwa na ukienda hazina unapewa pesa, unaowaona wanashindwa ni kwa sababu mtoto wa dada kasema pesa hakuna, msiwaone watu kwenye majukwaa, wana chuki na hasira za kuua mtu
 
hahahaha nimecheka sanaaaaa eti kimbunga Kenneth kije kiwasombe hahahaha, hawa jamaa kiukweli wanamuangisha sana JPM
 
Ndiyo wahamie katika ' Ofisi Mabati ' Mkuu? Yaani na Wewe kabisa hili unaliunga mkono? Kweli sasa naanza Kuamini kuwa Tanzania bado sana na huenda ' Tulishalaanika ' na walioijenga na kuipigania vyema hii nchi.
Kuna mwenye ubavu wa kumhoji mtoa robo za watu?
 
Da mkuu punguza hasira ,hii nchi ukifuatilia mambo mengi kwa undani saaana waweza kuweuka ,pole sana mkuu ila inatia hasira sana.
Hivi Waziri Jafo alishindwa nini tu Kuomba radhi kwa Mheshimiwa Rais kwa kuchelewa Kumaliza Ujenzi wa Jengo la Wizara ili waendelee kubakia Kwanza huko walikokuwa na wakishamaliza Ujenzi ndiyo wahamie hapo eneo la Mitumba?

Yaani kabisa Wizara kama ya Jafo inakuwa katika ' Mabati ' halafu linaonekana ni jambo zuri na hapo hapo tena Waziri Mkuu nae anaenda Kuitembelea hiyo hiyo Ofisi ya ' Mabati ' tena bila hata ya chembe ya ' Aibu ' hasa kwa heshima kubwa ya Cheo chake hicho.

Kwa mtizamo wangu nahisi kwamba japo Mheshimiwa Rais alikasirika vile na kuamua kuwa Ofisi za hiyo Wizara ziwe hivyo hivyo katika ' Mabati ' hayo ila nadhani hakumaanisha hivyo na pengine angeombwa radhi pale pale huku akieleweshwa vyema juu ya huo Ujenzi basi angeelewa na kuwapa muda ila hapa tatizo naliona kwa Waziri husika wa hiyo Wizara.

Kama nyie Watu wa Serikalini hasa hiyo Wizara ya ' Mabati ' mnaona kuwa kwa kuhamia hapo na hivyo hivyo Jengo likiwa ni ' Full ' mwendo wa ' Mabati ' ni Sifa au Kuonyesha ' Utiifu ' kwa Mheshimiwa Rais badi jueni kuwa kama kuna ' Aibu ' kubwa ambayo kwa Siku za hivi karibuni Tanzania imepata ni Kitendo hicho cha ' Kipuuzi ' kabisa cha kuhamia ' Kinafiki ' na ' Kiuwoga ' hapo ' Mabatini ' Kwenu.

Kwa huu ' Upuuzi Upuuzi ' wenu ndiyo wengine tukitoka tu nje ya mipaka ya Tanzania huwa tunaukana ' Utanzania ' Wetu kwa muda na ' Kujilipua ' tu kuwa tunatoka Mataifa mengine kwani siyo Siri kama kuna nchi ambayo huko nje inaonekana ni ya ' Kimbwigira / Kishamba ' kuliko zingine zote basi ni Tanzania na sababu Kubwa ni aina hizi hizi za mambo yenu ya ' Kipuuzi ' kama haya.

Halafu na Wewe Waziri Mkuu tena Mwana Simba Sports Club mwenzangu kabisa na Mwalimu mzuri sana tu ' Kitaaluma ' hebu basi Siku zingine uwe unapima ' Matendo ' yako ya Kiserikali na kama kuna mahala ukiona hapako sawa basi usiwe ' Muoga ' kumwambia au kumshauri Bosi wako Mkuu Mheshimiwa Rais kuliko na Wewe kujitia ' Aibu ' na Suti zako kabisa na kwenda ' Kuzindua ' Wizara ya ' Mabati ' kama hiyo ya Waziri Jafo. Umeniangusha sana Mheshimiwa Waziri Mkuu na kwa ' Umefeli ' mno tu kwa hilo.

Hivi ni nani ' ameiroga ' Tanzania yetu hii na hasa katika ' Mfumo ' wetu mzima wa Akili na matumizi yake? Yaani kabisa Watu ' Wasomi ' na ' Misuti ' yenu mnakubali kwenda Kujenga ' Mabati ' na Kuweka Vibao vya Ofisi na Idara zake katika Jengo ambalo bado linaendelea na Ujenzi wake halafu mnakaribisha kabisa Wananchi kupata Huduma hapo huku ' mkijisifu ' kabisa na ' Makamera ' kedekede?

Natamani mno ' Kenneth ' akimalizana na Mtwara, Lindi na Dar es Salaam kuanzia leo Usiku hadi Jumanne ijayo basi moja kwa moja ' ahamie ' Mkoani Dodoma na aende pale pale katika Wizara ' Mabati ' kisha ' afagie ' kila Kitu pale ili hayo ' Mabati ' yao waje kuyaokota Baharini Dar es Salaam yakiwa ' yanaelea ' Majini na ikiwezekana pia ' Kenneth ' aondoke na baadhi ya Watendaji Wakuu hadi Mtoni na huko Baharini ili Siku zingine Akili zao ziwakae sawa.

Nawasilisha.
 
Back
Top Bottom