GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 56,544
- 108,871
Hivi Waziri Jafo alishindwa nini tu Kuomba radhi kwa Mheshimiwa Rais kwa kuchelewa Kumaliza Ujenzi wa Jengo la Wizara ili waendelee kubakia Kwanza huko walikokuwa na wakishamaliza Ujenzi ndiyo wahamie hapo eneo la Mitumba?
Yaani kabisa Wizara kama ya Jafo inakuwa katika ' Mabati ' halafu linaonekana ni jambo zuri na hapo hapo tena Waziri Mkuu nae anaenda Kuitembelea hiyo hiyo Ofisi ya ' Mabati ' tena bila hata ya chembe ya ' Aibu ' hasa kwa heshima kubwa ya Cheo chake hicho.
Kwa mtizamo wangu nahisi kwamba japo Mheshimiwa Rais alikasirika vile na kuamua kuwa Ofisi za hiyo Wizara ziwe hivyo hivyo katika ' Mabati ' hayo ila nadhani hakumaanisha hivyo na pengine angeombwa radhi pale pale huku akieleweshwa vyema juu ya huo Ujenzi basi angeelewa na kuwapa muda ila hapa tatizo naliona kwa Waziri husika wa hiyo Wizara.
Kama nyie Watu wa Serikalini hasa hiyo Wizara ya ' Mabati ' mnaona kuwa kwa kuhamia hapo na hivyo hivyo Jengo likiwa ni ' Full ' mwendo wa ' Mabati ' ni Sifa au Kuonyesha ' Utiifu ' kwa Mheshimiwa Rais badi jueni kuwa kama kuna ' Aibu ' kubwa ambayo kwa Siku za hivi karibuni Tanzania imepata ni Kitendo hicho cha ' Kipuuzi ' kabisa cha kuhamia ' Kinafiki ' na ' Kiuwoga ' hapo ' Mabatini ' Kwenu.
Kwa huu ' Upuuzi Upuuzi ' wenu ndiyo wengine tukitoka tu nje ya mipaka ya Tanzania huwa tunaukana ' Utanzania ' Wetu kwa muda na ' Kujilipua ' tu kuwa tunatoka Mataifa mengine kwani siyo Siri kama kuna nchi ambayo huko nje inaonekana ni ya ' Kimbwigira / Kishamba ' kuliko zingine zote basi ni Tanzania na sababu Kubwa ni aina hizi hizi za mambo yenu ya ' Kipuuzi ' kama haya.
Halafu na Wewe Waziri Mkuu tena Mwana Simba Sports Club mwenzangu kabisa na Mwalimu mzuri sana tu ' Kitaaluma ' hebu basi Siku zingine uwe unapima ' Matendo ' yako ya Kiserikali na kama kuna mahala ukiona hapako sawa basi usiwe ' Muoga ' kumwambia au kumshauri Bosi wako Mkuu Mheshimiwa Rais kuliko na Wewe kujitia ' Aibu ' na Suti zako kabisa na kwenda ' Kuzindua ' Wizara ya ' Mabati ' kama hiyo ya Waziri Jafo. Umeniangusha sana Mheshimiwa Waziri Mkuu na kwa ' Umefeli ' mno tu kwa hilo.
Hivi ni nani ' ameiroga ' Tanzania yetu hii na hasa katika ' Mfumo ' wetu mzima wa Akili na matumizi yake? Yaani kabisa Watu ' Wasomi ' na ' Misuti ' yenu mnakubali kwenda Kujenga ' Mabati ' na Kuweka Vibao vya Ofisi na Idara zake katika Jengo ambalo bado linaendelea na Ujenzi wake halafu mnakaribisha kabisa Wananchi kupata Huduma hapo huku ' mkijisifu ' kabisa na ' Makamera ' kedekede?
Natamani mno ' Kenneth ' akimalizana na Mtwara, Lindi na Dar es Salaam kuanzia leo Usiku hadi Jumanne ijayo basi moja kwa moja ' ahamie ' Mkoani Dodoma na aende pale pale katika Wizara ' Mabati ' kisha ' afagie ' kila Kitu pale ili hayo ' Mabati ' yao waje kuyaokota Baharini Dar es Salaam yakiwa ' yanaelea ' Majini na ikiwezekana pia ' Kenneth ' aondoke na baadhi ya Watendaji Wakuu hadi Mtoni na huko Baharini ili Siku zingine Akili zao ziwakae sawa.
Nawasilisha.
Yaani kabisa Wizara kama ya Jafo inakuwa katika ' Mabati ' halafu linaonekana ni jambo zuri na hapo hapo tena Waziri Mkuu nae anaenda Kuitembelea hiyo hiyo Ofisi ya ' Mabati ' tena bila hata ya chembe ya ' Aibu ' hasa kwa heshima kubwa ya Cheo chake hicho.
Kwa mtizamo wangu nahisi kwamba japo Mheshimiwa Rais alikasirika vile na kuamua kuwa Ofisi za hiyo Wizara ziwe hivyo hivyo katika ' Mabati ' hayo ila nadhani hakumaanisha hivyo na pengine angeombwa radhi pale pale huku akieleweshwa vyema juu ya huo Ujenzi basi angeelewa na kuwapa muda ila hapa tatizo naliona kwa Waziri husika wa hiyo Wizara.
Kama nyie Watu wa Serikalini hasa hiyo Wizara ya ' Mabati ' mnaona kuwa kwa kuhamia hapo na hivyo hivyo Jengo likiwa ni ' Full ' mwendo wa ' Mabati ' ni Sifa au Kuonyesha ' Utiifu ' kwa Mheshimiwa Rais badi jueni kuwa kama kuna ' Aibu ' kubwa ambayo kwa Siku za hivi karibuni Tanzania imepata ni Kitendo hicho cha ' Kipuuzi ' kabisa cha kuhamia ' Kinafiki ' na ' Kiuwoga ' hapo ' Mabatini ' Kwenu.
Kwa huu ' Upuuzi Upuuzi ' wenu ndiyo wengine tukitoka tu nje ya mipaka ya Tanzania huwa tunaukana ' Utanzania ' Wetu kwa muda na ' Kujilipua ' tu kuwa tunatoka Mataifa mengine kwani siyo Siri kama kuna nchi ambayo huko nje inaonekana ni ya ' Kimbwigira / Kishamba ' kuliko zingine zote basi ni Tanzania na sababu Kubwa ni aina hizi hizi za mambo yenu ya ' Kipuuzi ' kama haya.
Halafu na Wewe Waziri Mkuu tena Mwana Simba Sports Club mwenzangu kabisa na Mwalimu mzuri sana tu ' Kitaaluma ' hebu basi Siku zingine uwe unapima ' Matendo ' yako ya Kiserikali na kama kuna mahala ukiona hapako sawa basi usiwe ' Muoga ' kumwambia au kumshauri Bosi wako Mkuu Mheshimiwa Rais kuliko na Wewe kujitia ' Aibu ' na Suti zako kabisa na kwenda ' Kuzindua ' Wizara ya ' Mabati ' kama hiyo ya Waziri Jafo. Umeniangusha sana Mheshimiwa Waziri Mkuu na kwa ' Umefeli ' mno tu kwa hilo.
Hivi ni nani ' ameiroga ' Tanzania yetu hii na hasa katika ' Mfumo ' wetu mzima wa Akili na matumizi yake? Yaani kabisa Watu ' Wasomi ' na ' Misuti ' yenu mnakubali kwenda Kujenga ' Mabati ' na Kuweka Vibao vya Ofisi na Idara zake katika Jengo ambalo bado linaendelea na Ujenzi wake halafu mnakaribisha kabisa Wananchi kupata Huduma hapo huku ' mkijisifu ' kabisa na ' Makamera ' kedekede?
Natamani mno ' Kenneth ' akimalizana na Mtwara, Lindi na Dar es Salaam kuanzia leo Usiku hadi Jumanne ijayo basi moja kwa moja ' ahamie ' Mkoani Dodoma na aende pale pale katika Wizara ' Mabati ' kisha ' afagie ' kila Kitu pale ili hayo ' Mabati ' yao waje kuyaokota Baharini Dar es Salaam yakiwa ' yanaelea ' Majini na ikiwezekana pia ' Kenneth ' aondoke na baadhi ya Watendaji Wakuu hadi Mtoni na huko Baharini ili Siku zingine Akili zao ziwakae sawa.
Nawasilisha.