Allen Kilewella
JF-Expert Member
- Sep 30, 2011
- 25,146
- 48,388
Kwenye Moja ya maelezo yake kwenye kile alichokuwa anakiita "shule ya uongozi" Balozi Humphrey Polepole aliwahi kusema kuwa wahuni wanaweza kuipiga kopi Serikali.
Hivi Serikali inawezekanaje ikapigwa kopi?
Hivi Serikali inawezekanaje ikapigwa kopi?