Hivi Serikali inawezaje kupigwa kopi?

Hivi Serikali inawezaje kupigwa kopi?

Allen Kilewella

JF-Expert Member
Joined
Sep 30, 2011
Posts
25,146
Reaction score
48,388
Kwenye Moja ya maelezo yake kwenye kile alichokuwa anakiita "shule ya uongozi" Balozi Humphrey Polepole aliwahi kusema kuwa wahuni wanaweza kuipiga kopi Serikali.

Hivi Serikali inawezekanaje ikapigwa kopi?
 
Kwenye Moja ya maelezo yake kwenye kile alichokuwa anakiita "shule ya uongozi" Balozi Humphrey Polepole aliwahi kusema kuwa wahuni wanaweza kuipiga kopi Serikali.

Hivi Serikali inawezekanaje ikapigwa kopi?
Exactly📌🔨
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom