Hivi serikali inamuogopa Gwajima?

Hivi serikali inamuogopa Gwajima?

Siku zake zinahesabika wazee wa kazi wanamlia timing na nzuri zaidi wamesha mseti na yeye ameisha ingia kichwa kichwa hachomoki ni swala la muda tu.
Jaribu kujiuliza kila siku Gwajima ni nani? Hakuna kiongozi wa dini ana wapelelezi na mashushushu kama Gwajima unapopanga kitu yeye tayari alishatonywa mapema
 
Ipo siku aina hizi za uchochezi utakuja kutugeuzia amani na kuwa vita kwenye nchi hii.UPINZANI TUJITAFAKARI KWENYE HILI.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom