Hivi ''Rais'' yuko nchini au vipi?

Hivi ''Rais'' yuko nchini au vipi?

CAMARADERIE

JF-Expert Member
Joined
Mar 3, 2011
Posts
4,419
Reaction score
1,929
Kutokana na kuwa na safari nyingi haieleweki kwa sasa ''Rais'' yupo nchini au la....ningependa kujua aliko nimfuate
 


Where the Hell is JK??
 
Last edited by a moderator:
Jamani uanzishwaji wa aina hii ya threads jamani una tija kweli ? Mtu kwa nini asilete complerte hoja tujadili?
 
Jamani uanzishwaji wa aina hii ya threads jamani una tija kweli ? Mtu kwa nini asilete complerte hoja tujadili?

Kama sin hoja watu wasingechangia....haya tuambie rasi yuko wapi muda huu?....labda umeelewa sasa
 
Ila Gulfstream si itakuwa imemaliza masaa yake ya kuruka?
 
Ila Gulfstream si itakuwa imemaliza masaa yake ya kuruka?

Watanunua mpya kwani pesa ya kununua ipo lakini sio ya matatizo yenu nyinyi kaeni na matatizo yenu ya umeme na maji .
 
Watanunua mpya kwani pesa ya kununua ipo lakini sio ya matatizo yenu nyinyi kaeni na matatizo yenu ya umeme na maji .

Kazi kwelikweli.........hatuna umeme kwa sababu ya upungufu wa maji....na hatuna maji kwa sababu ya upungufu wa umeme
 
Kaenda kuzindika upya ile pete ya ...... Afterall, aliyetoboa siri enzi zile akiwa Protocol si yuko huko huko? Safari hii sijui Gulf stream inabeba ndoo ngapi za yale maji ya ku-recharge...! teh teh teh..
 
Very unfortunate!! yaani sina maneno ya kuelezea..
Ukweli ni kwamba Tanzania haina uongozi kwa sasa
 
Huyu bwana mkubwa amezidi sana safari za nje kila kukicha. Trips nyingine alitakiwa amdelegate Bilal au Membe
 
Last time tuliambiwa yuko Malasyia.Ikulu hawatoi taarifa na ratiba za rais?Ni haki ya wananchi kujuwa rais alipo na si ombi.
 
Back
Top Bottom