Hayo ni maajabu ya Tz, kwani yule mama alikuwa ana siraha mpaka afanyiwe udhalilishaji? lakini kwa ujinga wa yule mlinzi, akaumbuliwa na Rais ili asikilizwe mama aende mahakamani kwa udhalilishaji aliofayiwa,
Kila kitu kutumia nguvu tu hivi walinzi wanawake hamna, hafu huyo mlinzi sijui nani ni kijana tu lakini alivokuwa anamsuka, kamzalilisha sana huyo mamaMungu kamsaidia tatizo la walinzi wetu issue kama hiyo wanakuwa na fikra tofauti kabisa hata kama uko uchi wa mnyama.
Yuko kazini, hakuna sehemu yeyote dunian utafanya hvyo uachwe, tusipende sympathy za kijinga wakati mwingne... Sehemu nyingne unaweza kuwekwa ndan kabisa... unadhan rais n sawa na monitor???Huyo mlinzi mwanaume kamzalilisha sana huyo mama yani hakutumia common sense kabisa kwa MTU asiye na silaha, aibu tupu na Raisi asingemwona loh sijui wangemfanya nini ?
So angekuwepo mlinz mwanamke... huyu mama atokee upande wa mlinz wa kiume... wakiume akae kimya asubiri wakike aje????Kila kitu kutumia nguvu tu hivi walinzi wanawake hamna, hafu huyo mlinzi sijui nani ni kijana tu lakini alivokuwa anamsuka, kamzalilisha sana huyo mama
Sasa mkuu mtu afike Mpaka pale na Bomu bila usalama kugundua huoni kuwa ni tatizo kwanini asingemwacha pale pale na bango lako, na walinzi wanawake walikuwa wapi, hamna adiyejua umuhimu wa ulinzi kwa raisi ila sio kuvutana huko wangetumia mwanamke mlinziYuko kazini, hakuna sehemu yeyote dunian utafanya hvyo uachwe, tusipende sympathy za kijinga wakati mwingne... Sehemu nyingne unaweza kuwekwa ndan kabisa... unadhan rais n sawa na monitor???
Alafu aliekuambia utamtambua mtu mwenye nia mbaya kwa kumwangalia n nani? Kama amevaa bomu je utajuaje? Usalama wa rais hauhij ku bet hata kdgo... Usije dhan kuna cha kuassume, haipo popote pale dunian... hao walinzi wanalipwa kwa ajili hiyo
HURUHUSIWI KUMSOGELEA RAIS KWA NAMNA YEYOTE ILE LABDA AKUITE YEYE.. weka kichwan kwako hiyoSasa mkuu mtu afike Mpaka pale na Bomu bila usalama kugundua huoni kuwa ni tatizo kwanini asingemwacha pale pale na bango lako, na walinzi wanawake walikuwa wapi, hamna adiyejua umuhimu wa ulinzi kwa raisi ila sio kuvutana huko wangetumia mwanamke mlinzi
Ndugu yangu uwe unajiongeza kidogo, ilikuwa ni lazima aondolewe pale kwa nguvu kwaajili ya usalama. Kumbuka mtu anaweza kujifunga bomu na kulilipua kwa staili kama ya huyo mama. Tuwe makini tunavotoa comment itasaidia sana.Hayo ni maajabu ya Tz, kwani yule mama alikuwa ana siraha mpaka afanyiwe udhalilishaji? lakini kwa ujinga wa yule mlinzi, akaumbuliwa na Rais ili asikilizwe mama aende mahakamani kwa udhalilishaji aliofayiwa,
Umeshawahi kumuona aliyejifunga bomu kiunoni?? Pale ilikuwa ni usalama kwanza mengine baadaye. Hakuna lawama afisa usalama alikuwa kazini na alikuwa anatimiza majukumu yake. Imagine katumwa kuja kulipua bomu na pale palikuwa pana viongozi wakubwa wa kitaifa. Tujaribu kutumia common senseHuyo mlinzi mwanaume kamzalilisha sana huyo mama yani hakutumia common sense kabisa kwa MTU asiye na silaha, aibu tupu na Raisi asingemwona loh sijui wangemfanya nini ?
Upo sahihi kabisa mkuu.Yuko kazini, hakuna sehemu yeyote dunian utafanya hvyo uachwe, tusipende sympathy za kijinga wakati mwingne... Sehemu nyingne unaweza kuwekwa ndan kabisa... unadhan rais n sawa na monitor???
Alafu aliekuambia utamtambua mtu mwenye nia mbaya kwa kumwangalia n nani? Kama amevaa bomu je utajuaje? Usalama wa rais hauhij ku bet hata kdgo... Usije dhan kuna cha kuassume, haipo popote pale dunian... hao walinzi wanalipwa kwa ajili hiyo