elmagnifico
JF-Expert Member
- Jul 7, 2011
- 8,260
- 9,705
jaman waungwana wanaojua hizi mambo, kuna kitu nimekutana nacho kinaitwa rooting hasa kwa watumiaji wa os ya android. nimesoma kwamba uki root simu the phone can do what it couldnt do mfano some application can functionin the phone that used not to function. lakini sijaelewa what does it real mean.