Hivi Pharrell Williams hazeeki...!?

Kama umewahi kusikia watu wanaitwa baby face basi ndio huyo jamaa...
 
Jamaa ni ageless alinyimwa kabisa uzee.

Ila kuna muda hata yeye mwenyewe huwa haipendi hiyo halii na hasa pale anapokutana na watu wasiomjua wana mtreat kama mtoto hivi.

na kweli kwa muonekano tu anaonekana ni kama U-20.

Na hata kwenye parody ya HAPPY wamemdiss eti "i am 41but i damn look like i'm 8"
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…