donlucchese JF-Expert Member Joined Mar 23, 2011 Posts 17,258 Reaction score 22,130 Aug 29, 2016 #1 Akiwa at 88th Oscar awards on Feb 28th 2016
Mshana Jr Platinum Member Joined Aug 19, 2012 Posts 360,153 Reaction score 829,099 Aug 29, 2016 #2 donlucchese said: View attachment 390010 Akiwa at 88th Oscar awards on Feb 28th 2016View attachment 390012 Click to expand... Ila naona nywele zimezeeka
donlucchese said: View attachment 390010 Akiwa at 88th Oscar awards on Feb 28th 2016View attachment 390012 Click to expand... Ila naona nywele zimezeeka
kuduman201036 JF-Expert Member Joined Aug 26, 2015 Posts 4,058 Reaction score 2,182 Aug 29, 2016 #3 ......atazeekaje wakati halimi kwa jembe la mkono.......haya ya uzee ni ya huku kwetu AFRICA mashariki tunaoishi kwenye tembe....
......atazeekaje wakati halimi kwa jembe la mkono.......haya ya uzee ni ya huku kwetu AFRICA mashariki tunaoishi kwenye tembe....
Kakashi uchiha JF-Expert Member Joined Sep 23, 2015 Posts 604 Reaction score 415 Aug 29, 2016 #4 Umenotice kwamba jamaa ana age slowly sana ni almost like hes an immortal
Saint Ivuga JF-Expert Member Joined Aug 21, 2008 Posts 55,028 Reaction score 59,657 Aug 29, 2016 #5 Huyu jamaa habadiliki kabisa aisee ... I love his songs
BAK JF-Expert Member Joined Feb 11, 2007 Posts 124,769 Reaction score 288,283 Aug 29, 2016 #6 Alipaka rangi Mkuu, ana genes nzuri huyu akifika 60 akimwambia mtu ana 35 atakubali. mshana jr said: Ila naona nywele zimezeeka Click to expand...
Alipaka rangi Mkuu, ana genes nzuri huyu akifika 60 akimwambia mtu ana 35 atakubali. mshana jr said: Ila naona nywele zimezeeka Click to expand...
Threesixteen Himself JF-Expert Member Joined Feb 12, 2013 Posts 8,349 Reaction score 8,081 Aug 29, 2016 #7 ! ! pass the convesier
UncleBen JF-Expert Member Joined Oct 27, 2014 Posts 9,693 Reaction score 12,320 Aug 29, 2016 #8 Wengine ni wajukuu wa Mtume
mousthustle JF-Expert Member Joined Mar 18, 2013 Posts 314 Reaction score 199 Aug 29, 2016 #9 because am happy .... furahi uongeze siku za kuishi.........
Migomba JF-Expert Member Joined Nov 30, 2013 Posts 945 Reaction score 1,339 Aug 29, 2016 #10 Kama umewahi kusikia watu wanaitwa baby face basi ndio huyo jamaa...
Mustaphagentleman JF-Expert Member Joined Jun 22, 2016 Posts 3,953 Reaction score 3,032 Aug 29, 2016 #11 Billionaire Boys Club
MNDAMBA BOY Senior Member Joined Aug 21, 2016 Posts 148 Reaction score 106 Aug 29, 2016 #12 Jamaa anakubalika xn over the world
Lizarazu JF-Expert Member Joined Aug 23, 2015 Posts 6,331 Reaction score 7,885 Aug 30, 2016 #13 Jamaa ni ageless alinyimwa kabisa uzee. Ila kuna muda hata yeye mwenyewe huwa haipendi hiyo halii na hasa pale anapokutana na watu wasiomjua wana mtreat kama mtoto hivi. na kweli kwa muonekano tu anaonekana ni kama U-20. Na hata kwenye parody ya HAPPY wamemdiss eti "i am 41but i damn look like i'm 8"
Jamaa ni ageless alinyimwa kabisa uzee. Ila kuna muda hata yeye mwenyewe huwa haipendi hiyo halii na hasa pale anapokutana na watu wasiomjua wana mtreat kama mtoto hivi. na kweli kwa muonekano tu anaonekana ni kama U-20. Na hata kwenye parody ya HAPPY wamemdiss eti "i am 41but i damn look like i'm 8"
misasa JF-Expert Member Joined Feb 5, 2014 Posts 17,046 Reaction score 13,171 Aug 30, 2016 #14 Umri wake?
Dream Queen JF-Expert Member Joined Nov 4, 2015 Posts 8,262 Reaction score 18,251 Aug 30, 2016 #15 Yuko vizuri.
Dengue JF-Expert Member Joined Dec 4, 2012 Posts 2,050 Reaction score 1,469 Aug 30, 2016 #16 Ni nani huyu?
Herbalist Dr MziziMkavu JF-Expert Member Joined Feb 3, 2009 Posts 43,037 Reaction score 34,741 Aug 30, 2016 #17 donlucchese said: View attachment 390010 Akiwa at 88th Oscar awards on Feb 28th 2016View attachment 390012 Click to expand... Mimi mbona sizeeki na nipo Afrika?
donlucchese said: View attachment 390010 Akiwa at 88th Oscar awards on Feb 28th 2016View attachment 390012 Click to expand... Mimi mbona sizeeki na nipo Afrika?
Halima Msasambuaji JF-Expert Member Joined Aug 24, 2016 Posts 504 Reaction score 1,256 Aug 30, 2016 #18 misasa said: Umri wake? Click to expand... Kazaliwa mwaka 1970 .....
Mshana Jr Platinum Member Joined Aug 19, 2012 Posts 360,153 Reaction score 829,099 Aug 30, 2016 #19 BAK said: Alipaka rangi Mkuu, ana genes nzuri huyu akifika 60 akimwambia mtu ana 35 atakubali. Click to expand... sawa kaka
BAK said: Alipaka rangi Mkuu, ana genes nzuri huyu akifika 60 akimwambia mtu ana 35 atakubali. Click to expand... sawa kaka
mgogoone JF-Expert Member Joined Dec 28, 2015 Posts 2,900 Reaction score 2,100 Aug 30, 2016 #20 MziziMkavu said: Mimi mbona sizeeki na nipo Afrika? View attachment 390074 Click to expand... MziziMkavu kamwe hauzeeki ila majani makavu yanaitwa"dead leaf"
MziziMkavu said: Mimi mbona sizeeki na nipo Afrika? View attachment 390074 Click to expand... MziziMkavu kamwe hauzeeki ila majani makavu yanaitwa"dead leaf"