Hivi nyie wanaume tuwaweke wapi?

Hivi nyie wanaume tuwaweke wapi?

Du leo umejitahidi kuandika vinavyoeleweka japo haitupunguzii kasi ya kuwaua
 


Kama hutaki kuoa siuache unamchukua binti wawatu halafu matokeo yake unamuua na umalaya wako unalala na kila msichana unaweka mimbegu.

Halafu unakuja humo ndani yanyumba kisa mkeo amejua unamuua .

Kama mnaona mmeshindwa kukituliza hicho kitu chenu mwambie mkeo naomba tuachane kuliko kumtoa mtu uhai kisa ushenzi tu

Na hii shida ni kwamba unaolewa na limbukeni na watu ambao akili hakuna
Ila wanaume mnachosha kabisa.

Poa.
 


Kama hutaki kuoa siuache unamchukua binti wawatu halafu matokeo yake unamuua na umalaya wako unalala na kila msichana unaweka mimbegu.

Halafu unakuja humo ndani yanyumba kisa mkeo amejua unamuua .

Kama mnaona mmeshindwa kukituliza hicho kitu chenu mwambie mkeo naomba tuachane kuliko kumtoa mtu uhai kisa ushenzi tu

Na hii shida ni kwamba unaolewa na limbukeni na watu ambao akili hakuna
Ila wanaume mnachosha kabisa.
Kwani marehemu alikusimulia?
 
Yaani wauliza utuweke wapi wakati unajua mpini hua unakaa wapi!

Ajabu utuweke wapi hukohuko kwa k zenu alaaah

Sehemu zingine mnatulazumisha tu

Nimechangia kichwa Cha habari tu ngoja nukasome Sasa kontent
 


Kama hutaki kuoa siuache unamchukua binti wawatu halafu matokeo yake unamuua na umalaya wako unalala na kila msichana unaweka mimbegu.

Halafu unakuja humo ndani yanyumba kisa mkeo amejua unamuua .

Kama mnaona mmeshindwa kukituliza hicho kitu chenu mwambie mkeo naomba tuachane kuliko kumtoa mtu uhai kisa ushenzi tu

Na hii shida ni kwamba unaolewa na limbukeni na watu ambao akili hakuna
Ila wanaume mnachosha kabisa.
Tuache hivyo hivyo tu
Cha msingi mwombe Mungu akupe mume unayemtaka lakini kwetu sisi

Vichwa hivi viache tu dume la mbegu utakuwaje mwanamke mmoja

Kwetu wanasema kamoja Kama mama yako hahahah
 
Kuna mwanamke mwenzenu huku kilimanjaro jana tu kafanya jambo zuri na jema tu la kumchoma mwanaume kisu mpaka utumbo kumwagika.

Pongezaneni maana nyani haoni kundule.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom