Teamo
JF-Expert Member
- Jan 9, 2009
- 12,272
- 1,035
Enzi zilee za mwalimu. Unamwona Pretty anavyochungulia? Anaogopa kuingia kanisani
hahaha namwona!anavutiwa sana na litrujia ya neno ambayo shemasi unahubiri.amesimama kwenye mlango wa kanisa
Enzi zilee za mwalimu. Unamwona Pretty anavyochungulia? Anaogopa kuingia kanisani
hahaha namwona!anavutiwa sana na litrujia ya neno ambayo shemasi unahubiri.amesimama kwenye mlango wa kanisa
Mambo Chriss naona leo mmekuja na ya mwisho wa wiki,kwa hiyo mnahisi wengine huku sio she bali ni he,kazi mnayo.Hebu nieleze kwa nini hamuwaamini watu kwamba ni she or he?
Kabla sijakujibu binamu. Are you she or he?
Mimi ni she bwana,na ili u-prove hilo nitakualika kwenye engagement yangu binamu.
Mimi ni she bwana,na ili u-prove hilo nitakualika kwenye engagement yangu binamu.
ina maana yule jamaa ambaye mlizinguana sana mpaka ukatuomba ushauri kipindi kile umeenda kwenye msiba wa babu yako MMERUDIANA?
Mimi ni she bwana,na ili u-prove hilo nitakualika kwenye engagement yangu binamu.
Hii Kali, yaani kwa sasa ni lazima umuulize mtu kama ni she au he kabla ya kuendeleza mazungumzo nae...lol!...imekuwa ngumu sana!
Kama una engagement dada Msindima basi tualike wana-JF wote! Umesahau kuwa Invisible anatoa zawadi kwa niaba ya wanaJF wote?
PJ mambo gani hayo? Nimekaribishwa peke yangu. Mtaniharibia, si mnaona mambo yalishaanza kwenda kwenye mstari? Agggrrrrrrr
kila kitu we gainter?au we gang star..............
PJ mambo gani hayo? Nimekaribishwa peke yangu. Mtaniharibia, si mnaona mambo yalishaanza kwenda kwenye mstari? Agggrrrrrrr
Katekista taratibu, tutampoteza huyu mwanakondoo kwa mahubiri yako hayo.
Hii Kali, yaani kwa sasa ni lazima umuulize mtu kama ni she au he kabla ya kuendeleza mazungumzo nae...lol!...imekuwa ngumu sana!
Kama una engagement dada Msindima basi tualike wana-JF wote! Umesahau kuwa Invisible anatoa zawadi kwa niaba ya wanaJF wote?
basi nimekosa mkuu, endelea naye nakaa mbali, lakini japo uwe na Geoff kama mpambe ili akuelekeze baadhi ya Protocals...!
JAMANI WANA-JF MSIENDE KWENYE HII SHUGHULI! Inamhusu mtu mmoja tu, sawa eeeeeeeeeeeeee!
Nitawakaribisha wote msihofu
Ahaa, umefikae? Nilikuwa nakusubiri kwa hamu. Hujambo darling? Are you he or she?
Hapo unaanza kuharibu sasa. Ina maana na Fidel80 na Nguli nao waje?
Mie naitwa Semenya so ni juu yako kujiuliza kama mie ni he/or she