Hivi nyama ya chui inaliwa?


Kuna mdau hapo juu kauliza, kama ingekuwa amekuvamia wewe ungesubiri hadi uende kupata kibali Maliasili ndio uje umuue\?
 
Ni lynx au paka pori huyo duma ni mkubwa aisee...na chui hamna afrika
 
Kuna mdau amesema huyo ni lynx nimegoogle huenda akawa lynx kweli.
 

Mkuu ni kweli Anaitwa SERVAL.
 
Sio chui yaani wamemuua one of the majestic animal in the world the ultimate predator ,maskibi c
Duma wetu hivi hawako protected hawa?maana survial yao tata kidogo hawa wakizaliwa vitoto usual only one survive to adult hood
 
Huko ni kupatwa Kwa chui haina madhara kama ilivo ya paka
 
Principo za wapi hizo mkuu Mbona Noah anakula sio nyama tu ila kila kitu hata kitanda kikikaa vibaya., lakini bado anafanywa kitoweo tena ghali duniani??
Unashangaa kula noa analiwa mpaka binadamu je wewe unakula binadamu
 
Principo za wapi hizo mkuu Mbona Noah anakula sio nyama tu ila kila kitu hata kitanda kikikaa vibaya., lakini bado anafanywa kitoweo tena ghali duniani??
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] eti hata kitanda kikikaa vibaya, duuuh
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…