Zero Hours JF-Expert Member Joined Apr 1, 2011 Posts 12,942 Reaction score 18,691 Dec 12, 2016 #1 Huku kwetu leo tumemkamata huyu chui mla kuku wetu. Wananzengwe kwa machungu wameamua kumla. Je ni salama kula huyu mnyama?
Huku kwetu leo tumemkamata huyu chui mla kuku wetu. Wananzengwe kwa machungu wameamua kumla. Je ni salama kula huyu mnyama?
Titans JF-Expert Member Joined Dec 31, 2010 Posts 1,459 Reaction score 3,373 Dec 12, 2016 #2 Duh, hatari. Hiyo nafananisha na kama kula paka aisee. Hao jamaa wanakula nyara ya serikali.
D Donald Lema Senior Member Joined Jul 11, 2015 Posts 165 Reaction score 215 Dec 12, 2016 #3 Kama ya mmbwa, paka inaliwa basi hata ya chui italiwa.
E ebaeban JF-Expert Member Joined Jan 15, 2012 Posts 2,205 Reaction score 2,707 Dec 12, 2016 #4 Watu huila kwa hasira kama huyo chui kafanya kitu mbaya au hata Simba huliwa kwa kumkomoa kama kaifanyia kitu mbaya jamii
Watu huila kwa hasira kama huyo chui kafanya kitu mbaya au hata Simba huliwa kwa kumkomoa kama kaifanyia kitu mbaya jamii
mr chopa JF-Expert Member Joined Aug 26, 2016 Posts 5,296 Reaction score 13,740 Dec 12, 2016 #5 Huyo ni chitah kiswahili ni duma sio chui
Muyobhyo JF-Expert Member Joined Oct 9, 2014 Posts 8,149 Reaction score 6,552 Dec 12, 2016 #6 huyu ni chui au ngawa, huku zanzibar anaitwa ngawa
Horseshoe Arch JF-Expert Member Joined Aug 10, 2009 Posts 13,402 Reaction score 12,787 Dec 12, 2016 #7 Kitoweo safi sana!
Behaviourist JF-Expert Member Joined Apr 8, 2016 Posts 39,924 Reaction score 95,729 Dec 12, 2016 #8 Huwezi kumla myama anaekula nyama bali unatakiwa kula mnyama anaekula majani!!
Mbao za Mawe JF-Expert Member Joined May 11, 2015 Posts 23,372 Reaction score 55,027 Dec 12, 2016 #9 Kwa usawa huu wa magu tunakula hadi mashemeji sembuse CHUI
Jidu La Mabambasi JF-Expert Member Joined Oct 20, 2014 Posts 17,582 Reaction score 28,566 Dec 12, 2016 #10 heradius12 said: Huku kwetu leo tumemkamata huyu chui mla kuku wetu. Wananzengwe kwa machungu wameamua kumla. Je ni salama kula huyu mnyama? Click to expand... Huyo si chui, ni aina ya paka pori. Huo paka pori anaiwa lynx
heradius12 said: Huku kwetu leo tumemkamata huyu chui mla kuku wetu. Wananzengwe kwa machungu wameamua kumla. Je ni salama kula huyu mnyama? Click to expand... Huyo si chui, ni aina ya paka pori. Huo paka pori anaiwa lynx
jerrysonkiria JF-Expert Member Joined Sep 5, 2014 Posts 2,228 Reaction score 2,902 Dec 12, 2016 #11 Uwezo wako tu mbona n tamu sana
OSOKONI JF-Expert Member Joined Oct 20, 2011 Posts 10,965 Reaction score 5,344 Dec 12, 2016 #13 mr chopa said: Huyo ni chitah kiswahili ni duma sio chui Click to expand... Cheetah
OSOKONI JF-Expert Member Joined Oct 20, 2011 Posts 10,965 Reaction score 5,344 Dec 12, 2016 #14 Chui ni mnyama mkubwa na ana nguvu huyo ni aina ya wild cat
Kingsharon92 JF-Expert Member Joined Aug 10, 2015 Posts 7,936 Reaction score 10,561 Dec 12, 2016 #15 Ni mtamu sana halafu mtakuwa wastaarabu kama chui na mtakuwa wasafi na msiokuwa na papara mtafanya mambo yenu kwa kutumia akili na utashi wa hali ya juu kama chui
Ni mtamu sana halafu mtakuwa wastaarabu kama chui na mtakuwa wasafi na msiokuwa na papara mtafanya mambo yenu kwa kutumia akili na utashi wa hali ya juu kama chui
PROF NDUMILAKUWILI JF-Expert Member Joined Mar 25, 2016 Posts 10,517 Reaction score 13,180 Dec 12, 2016 #16 Hongereni maana kuua chui sio jambo dogo hatari sana hao wanyama
amygdala JF-Expert Member Joined Jul 11, 2016 Posts 1,082 Reaction score 997 Dec 12, 2016 #17 kuna kenge walikua wananisumbua sana basi nlikua kila nkiawakamata nawapika supu aisee kenge waiosalimika wote walishahama huu mtaa
kuna kenge walikua wananisumbua sana basi nlikua kila nkiawakamata nawapika supu aisee kenge waiosalimika wote walishahama huu mtaa
Zero Hours JF-Expert Member Joined Apr 1, 2011 Posts 12,942 Reaction score 18,691 Dec 12, 2016 Thread starter #18 Na inasemekana nyama yake ya dawa ya magonjwa mengi
Ushimen JF-Expert Member Joined Oct 24, 2012 Posts 42,562 Reaction score 105,374 Dec 12, 2016 #19 mr chopa said: Huyo ni chitah kiswahili ni duma sio chui Click to expand... Akajasembamba- said: huyu ni chui au ngawa, huku zanzibar anaitwa ngawa Click to expand... Jidu La Mabambasi said: Huyo si chui, ni aina ya paka pori. Huo paka pori anaiwa lynx Click to expand... Chagua jibu sahihi.....
mr chopa said: Huyo ni chitah kiswahili ni duma sio chui Click to expand... Akajasembamba- said: huyu ni chui au ngawa, huku zanzibar anaitwa ngawa Click to expand... Jidu La Mabambasi said: Huyo si chui, ni aina ya paka pori. Huo paka pori anaiwa lynx Click to expand... Chagua jibu sahihi.....
Mshana Jr Platinum Member Joined Aug 19, 2012 Posts 361,051 Reaction score 831,650 Dec 12, 2016 #20 Nyama hizo tamu sana ila huyu interest yake ilikuwa matusi