G M S JF-Expert Member Mar 30, 2011 502 53 Jan 12, 2012 #1 Nna nokia 1600 naitumia kwa sasa ila nashangaa keypad (button) hazina mwanga Kwa mliowah itumia je ndivyo ilivyoudwa au?
Nna nokia 1600 naitumia kwa sasa ila nashangaa keypad (button) hazina mwanga Kwa mliowah itumia je ndivyo ilivyoudwa au?
drphone JF-Expert Member Sep 29, 2009 3,542 281 Jan 13, 2012 #3 G spanner said: Nna nokia 1600 naitumia kwa sasa ila nashangaa keypad (button) hazina mwanga Kwa mliowah itumia je ndivyo ilivyoudwa au? Click to expand... mkuu sivyo zilivyo ila ni hyo yakwako tu na acha kuhusisha tatizo la cm yako na cm zote za aina hyo tatizo linatibika mkuu labda setting au ic ya taa imekufa unabadilisha ingine maisha yanasonga mbele tembelea fundi aliyekaribu na ww
G spanner said: Nna nokia 1600 naitumia kwa sasa ila nashangaa keypad (button) hazina mwanga Kwa mliowah itumia je ndivyo ilivyoudwa au? Click to expand... mkuu sivyo zilivyo ila ni hyo yakwako tu na acha kuhusisha tatizo la cm yako na cm zote za aina hyo tatizo linatibika mkuu labda setting au ic ya taa imekufa unabadilisha ingine maisha yanasonga mbele tembelea fundi aliyekaribu na ww