safi sana, afadhali mziuze tuzinunue sie wala kitimoto....juzi nilienda kijijini kwa Mama'angu na mboga niliyoandaliwa ilikua hii kitu. Natamani na weekend hii ni safiri tena
Ahahahahahahahahaa, teheteheteheteh,,,,, ndio maana kitimoto hapa Bukoba tunaita... Mnyama wa Taifa....... we acha tu. Twiga ni mnyama wa serikali!!!!. Myama wa Taifa oyeeeeeeeeeee.... Siku hizi huku kwetu Kitimoto ni sehemu ya Mahari kama utataka kuoa. Unaambiwa lazima upeleke Mnyama wa Shangazi mtu..................... loh.
Hizi gari Zimekuwa nyingi mno kama Yale mashati yalikuwa yaitwa "YEKE YEKE"miaka ya 80 hadi watu wakawa wanafanya "JEZI" za mpira wa miguu na kufanya mvaaji asithaminike ndivyo ilivyo kwa hizi gari za Noah kwani kule kand aya ziwa ndio dala dala zao na kufanya mtumiaji binafsi kuonekana hana la maana!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.