Hivi Noah Na Kitimoto Vinafanana Kweli?

Safari_ni_Safari

JF-Expert Member
Oct 5, 2007
23,268
17,097
Mimi nimeiuza ya kwangu kwa hasira

TY48929-5.jpg


BigPigOnSnowDSCF0951-719361.jpg
 
safi sana, afadhali mziuze tuzinunue sie wala kitimoto....juzi nilienda kijijini kwa Mama'angu na mboga niliyoandaliwa ilikua hii kitu. Natamani na weekend hii ni safiri tena
 
Ahahahahahahahahaa, teheteheteheteh,,,,, ndio maana kitimoto hapa Bukoba tunaita... Mnyama wa Taifa....... we acha tu. Twiga ni mnyama wa serikali!!!!. Myama wa Taifa oyeeeeeeeeeee.... Siku hizi huku kwetu Kitimoto ni sehemu ya Mahari kama utataka kuoa. Unaambiwa lazima upeleke Mnyama wa Shangazi mtu..................... loh.
 
duh mimi nimelipenda hilo kitimoto linaishi kwenye barafu kama bear
 
Mimi nimeiuza ya kwangu kwa hasira

TY48929-5.jpg

Hizi gari Zimekuwa nyingi mno kama Yale mashati yalikuwa yaitwa "YEKE YEKE"miaka ya 80 hadi watu wakawa wanafanya "JEZI" za mpira wa miguu na kufanya mvaaji asithaminike ndivyo ilivyo kwa hizi gari za Noah kwani kule kand aya ziwa ndio dala dala zao na kufanya mtumiaji binafsi kuonekana hana la maana!
 
Back
Top Bottom