Nimekuwa nikijiuliza mara nyingi sana bila kupata majibu yaliyojitosheleza senene wanatoka wapi? Na kwa nini wanakuja kwa ukubwa uliofanana na tumbo zao zikiwa tupu hazina chakula? Asanteni
kwa wakwe zangu bukoba wako wengi sanaaa ila me huwa sili kabisa wale wadudu.makabila mengine haya basi tu tumeolewa but wanakula vitu vya ajabu mara sijui kahawa za kutafuna jaman!!!
Nimekuwa nikijiuliza mara nyingi sana bila kupata majibu yaliyojitosheleza senene wanatoka wapi? Na kwa nini wanakuja kwa ukubwa uliofanana na tumbo zao zikiwa tupu hazina chakula? Asanteni
kwa wakwe zangu bukoba wako wengi sanaaa ila me huwa sili kabisa wale wadudu.makabila mengine haya basi tu tumeolewa but wanakula vitu vya ajabu mara sijui kahawa za kutafuna jaman!!!