Hivi nini msingi wa tozo ya parking mjini?

Hivi nini msingi wa tozo ya parking mjini?

pureman2

JF-Expert Member
Joined
Aug 21, 2019
Posts
1,491
Reaction score
2,563
Heri ya mwaka mpya wakuu!

Kuna mambo hapa Tz ukiyafiria unakosa mantiki ya sheria na kanuni tunazozianzisha.

Hivi nini msingi wa kutoza ushuru wa kupark gari maeneo ya mjini? Natoa ushuru kwa nini hasa ? Mimi kutembea na gari ? Hivi gari ni kitu Cha anasa kumiliki ? Mimi kutumia gari nafaidika nini kiuchumi hadi unitoze ushuru? So mnataka tuwe na magari yanayoshinda tu home?

Ngozi nyeusi tunatatizo jinsi tunavyo fikiria ? Sijui tulicopy wapi upuuzi huu?
 
Heri ya mwaka mpya wakuu!

Kuna mambo hapa Tz ukiyafiria unakosa mantiki ya sheria na kanuni tunazozianzisha.

Hivi nini msingi wa kutoza ushuru wa kupark gar maeneo ya mjini? Natoa ushuru kwa nini hasa ? Mimi kutembea na gari ? Hivi gari ni kitu Cha anasa kumiliki ? Mimi kutumia gari nafaidika nini kiuchumi hadi unitoze ushuru? So mnataka tuwe na magari yanayoshinda tu home?

Ngozi nyeusi tunatatizo jinsi tunavyo fikiria ? Sijui tulicopy wapi upuuzi huu?
Kama huelewi umuhimu wa ushuru wa kupaki magari mijini basi kuna tatizo mahali mkuu
Fikirisha ubongo kidogo tu utaona umuhimu wake
 
Hili halifanyiki Tanzania tu hata nchi zilizoendelea kwenye miji mikubwa kuna tozo za parking....! Kwa iyo usianze kulaumu we omba tu ufafanuzi...!
Ndo nataka kufahamu basis ya tozo kama hizi zisizo na mantiki . Kwa namna ya kufikiri Kama hii itakuja siku waanzishe tozo ya kuwa na demu/ mme
 
Vitu vingine tunaenda navyo vilivyo tu ukitaka kuelewa kila kitu utachanganyikiwa.

Mbaya zaidi at "Park at your own risk" ila pesa wanachukua
Wawakilishi wetu hawako serious
 
Heri ya mwaka mpya wakuu!

Kuna mambo hapa Tz ukiyafiria unakosa mantiki ya sheria na kanuni tunazozianzisha.

Hivi nini msingi wa kutoza ushuru wa kupark gari maeneo ya mjini? Natoa ushuru kwa nini hasa ? Mimi kutembea na gari ? Hivi gari ni kitu Cha anasa kumiliki ? Mimi kutumia gari nafaidika nini kiuchumi hadi unitoze ushuru? So mnataka tuwe na magari yanayoshinda tu home?

Ngozi nyeusi tunatatizo jinsi tunavyo fikiria ? Sijui tulicopy wapi upuuzi huu?
Ungewauliza duniani huko unapowaamini ndo tumecopy kwao,
Afu unataka usitozwe iili utelekeze gari lako ktkt ya mji siku nzima siyo?
Hizo Ni njia za kupunguza mrundikano wa hizo ndinga kiholela town
 
Tozo ya parking ipo ndani ya Sera ya kupunguza foleni barabarani na pia kupunguza msongamano wa magari mijini.
 
Ndo nataka kufahamu basis ya tozo kama hizi zisizo na mantiki . Kwa namna ya kufikiri Kama hii itakuja siku waanzishe tozo ya kuwa na demu/ mme
Ukianza kulipia Tv license si ndio utalia kabisa?
 
Msingi wake ni nn? Je wanaona mtu kumiliki gari binafsi ni faida au anasa?
mjini maeneo yote yana wenyewe jiji wakiwemo ukitaka nunua eneo lako fanya parking hakuna atakayekusumbua

wenye maeneo yao mjini hawadaiwi parking fee

mfano wewe na hivyo kigari chako used unataka ukapaki wapi kwa nani?
 
Heri ya mwaka mpya wakuu!

Kuna mambo hapa Tz ukiyafiria unakosa mantiki ya sheria na kanuni tunazozianzisha.

Hivi nini msingi wa kutoza ushuru wa kupark gari maeneo ya mjini? Natoa ushuru kwa nini hasa ? Mimi kutembea na gari ? Hivi gari ni kitu Cha anasa kumiliki ? Mimi kutumia gari nafaidika nini kiuchumi hadi unitoze ushuru? So mnataka tuwe na magari yanayoshinda tu home?

Ngozi nyeusi tunatatizo jinsi tunavyo fikiria ? Sijui tulicopy wapi upuuzi huu?
Mimi tozo ya parking sioni tatizo.. Tatizo ni kuchukua hela kwa watu wakati mazingira ya parking ni mabovu.. Unaweka gari mahali pamejaa mashimo na maji machafu alafu mtu anakuja kukuwekea risiti.. Nimeshagoma kulipa mara kadhaa kwasababu ya hili.

Watengeneze parking zinazoeleweka ili wachukue tozo halali, sio kuvizia watu wamepaki gari uchochoroni huko alafu wanakuja chukua hela.
 
Hili halifanyiki Tanzania tu hata nchi zilizoendelea kwenye miji mikubwa kuna tozo za parking....! Kwa iyo usianze kulaumu we omba tu ufafanuzi...!
Upo sahihi, tatizo huku kwetu kuna maeneo wanatoza parking lakini mazingira ni hovyo sana.
 
Tozo ya parking ipo ndani ya Sera ya kupunguza foleni barabarani na pia kupunguza msongamano wa magari mijini.
Serikali za miji, manispaa, jiji zimetengenezwa maeneo ya kupaki magari au wanatoza paking fee kwa kigezo gani?
 
Watu wenye vi Ist, vi vitz, nk ni walalamishi sana.. Hata mafuta yakipanda sh 2 wanalalamika, ukiazima kigari chake huku nyuma atalalamika,sasa anataka apark ki ist chake bure..
 
Basi watupe mchanganuo wa matumizi ya hizo pesa na ionyeshe how gari yangu inanufaika kwa tozo hiyo.
 
Back
Top Bottom