Mr muhuni
JF-Expert Member
- May 26, 2014
- 1,304
- 1,268
na njia ya kuchangia piaNi chanzo cha mapato ya halmashauri.
na njia ya kuchangia piaNi chanzo cha mapato ya halmashauri.
mkuu sio Africa tuu china na nchi zingine kubwa pia wanamfumo huuHeri ya mwaka mpya wakuu!
Kuna mambo hapa Tz ukiyafiria unakosa mantiki ya sheria na kanuni tunazozianzisha.
Hivi nini msingi wa kutoza ushuru wa kupark gari maeneo ya mjini? Natoa ushuru kwa nini hasa ? Mimi kutembea na gari ? Hivi gari ni kitu Cha anasa kumiliki ? Mimi kutumia gari nafaidika nini kiuchumi hadi unitoze ushuru? So mnataka tuwe na magari yanayoshinda tu home?
Ngozi nyeusi tunatatizo jinsi tunavyo fikiria ? Sijui tulicopy wapi upuuzi huu?
Kigezo sina hakika ila hiyo zoto inapunguza msongamano wa magari kwasababu watu wengi wasingependa kulipa hiyo tozo, hivyo hawatapark gari zao mahali popote. Chukulia mfano kusingekua na hiyo tozo it's means kila mtu angepaki gari yake pale posta, zizani kama pangepitikaSerikali za miji, manispaa, jiji zimetengenezwa maeneo ya kupaki magari au wanatoza paking fee kwa kigezo gani?
Hapa dar wanatufuata mpaka kwenye makazi ya watu, wanakera sanaHili halifanyiki Tanzania tu hata nchi zilizoendelea kwenye miji mikubwa kuna tozo za parking....! Kwa iyo usianze kulaumu we omba tu ufafanuzi...!
Heri ya mwaka mpya wakuu!
Kuna mambo hapa Tz ukiyafiria unakosa mantiki ya sheria na kanuni tunazozianzisha.
Hivi nini msingi wa kutoza ushuru wa kupark gari maeneo ya mjini? Natoa ushuru kwa nini hasa ? Mimi kutembea na gari ? Hivi gari ni kitu Cha anasa kumiliki ? Mimi kutumia gari nafaidika nini kiuchumi hadi unitoze ushuru? So mnataka tuwe na magari yanayoshinda tu home?
Ngozi nyeusi tunatatizo jinsi tunavyo fikiria ? Sijui tulicopy wapi upuuzi huu?
Hujiulizi kwanini unajenga nyumba na unalipia kodi ya jengo na kiwanja ?Msingi wake ni nn? Je wanaona mtu kumiliki gari binafsi ni faida au anasa?