kwa njia hiyo huwezi kuishi na mke, la msingi ni kuaminiana na kuelezana ukweli ila si kuchunguzana wakati wote. Ukiendelea na tabia ya sasa uliyonayo utakuwa na idadi kubwa ya kina dada na matokeo yake unaweza kupata matatizo (ya kiakili au magonjwa). Hakuna binadamu aliyetimilifu. Inawezekana una matatizo ya kisaikolojia unaweza kuwaona wataalamu. Ukimchunguza kuku alacho (wa kienyeji) unaweza usimle. Mbona na wewe unatamani na wengine?