Cole Williams
JF-Expert Member
- Jun 1, 2016
- 35,343
- 201,605
KILL COLE WILLIAMS
Hasira ya nini kama umeoa tulia na hallai yako sio kila siku kukicha unafukuzia vident vya shule na vya chuo na kama hujaoa oa ule kwa nafasi.Hujui machungu ya kuhonga ndo maana ukihongwa unaanza kujizungusha zungusha
Ukihonga ndiyo utajua maswaiba ya tuyapatayo wanaume
Kama mgeyajua mngeacha kutusumbua na kulingia vipapuchi vyenu
MeaningKILL COLE WILLIAMS
NaombaWadada mnaolipia huduma mnaitwa huku
Njoo uchukueNaomba
daaah!! haya katoto kazuriWewe ni wa madam s haya mimi na wewe wapi na wapi isitoshe mimi sihongagi na hongwa.
Usikasirike ulichagua au umetemwa tayari ???daaah!! haya katoto kazuri
wala sijakasirika kwani naonekana hivyo??Usikasirike ulichagua au umetemwa tayari ???
Wala sitokagi na vitoto natoka natoka na watu wazima.pole sana inaonekana wenye pesa wamekuchukulia KIBEN 10 chako.
acha povu tafuta pesa na ww ukawaibie VIBEN 10 vyao muwe ngoma droo
Yes mpaka wanapigana wanafumaniana hadi sumu wanawekeana ikibidiii ni machizii eti hayo mashangingii unapata kwajasho unatoa hela noumaa.Hivi kuna wadada wapo hivyo eeee?
Nina mashaka na wanakozipata hizo pesa za kuwahonga hao Me na si ajabu ikawa zinatoka kwa Me huyu halafu inakwenda kwa me yule.
Sababu hela ya kutafuta mwenyewe inakuwaga tamu hatari.
Oh Where is my wi MADAM S njooo mumeo ananichokoza ili unichambe naunajua sijakuwa bado mbichi kama niniwala sijakasirika kwani naonekana hivyo??
swali lako ni rahisi nalijibu kirahisi...unataka iwe hivyo??
nakuchokoza tena?? ngoja nikuache nasubiri uive kwanzaOh Where is my wi MADAM S njooo mumeo ananichokoza ili unichambe naunajua sijakuwa bado mbichi kama nini
Nive kama tunda au chakula halafuu??nakuchokoza tena?? ngoja nikuache nasubiri uive kwanza
utakuwa tayari matumizi ahahaha uwe na siku njema katotoNive kama tunda au chakula halafuu??