Cainan
JF-Expert Member
- Jun 14, 2017
- 419
- 476
Habari zenu wakuu, poleni na maombolezo.
Nirejee kwenye kichwa husika.
Hivi ni vigezo gani vinatumika sana katika kuajiri wafanyakazi katika mashirika makubwa kama vile UNICEF, WHO, AMREF international na mengineyo mengi, naomba tujadili kwa kina kuhusiana na suala hili.
Ahsanteni karibuni.
Nirejee kwenye kichwa husika.
Hivi ni vigezo gani vinatumika sana katika kuajiri wafanyakazi katika mashirika makubwa kama vile UNICEF, WHO, AMREF international na mengineyo mengi, naomba tujadili kwa kina kuhusiana na suala hili.
Ahsanteni karibuni.