Daah i can feel your pain..naona weekend yako imeharibika leo..Jiulize na kama vidonge ni vya usalama kwanini vifichwe? Hapo kuna walakini..! Hivyo vidonge sio vya usalama huenda
Daah inatisha weekend leo imekuja vibaya sana..ila trust me Mungu bado anakupenda ndugu yangu kuweza kugundua hilo. Naamini huwa kuna miujiza unaweza kabisa kutoka salama!
Wapo wengi walicheza rafu sana tena rafu mbaya sana..lakini Amini Mungu yupo wapo watu wameponea tundu la sindano..Naomba Mungu huu muujiza ukutembelee na wewe ni mojawapo ya funzo kubwa.