Hivi ni upi U - professor wa Mh Lipumba? Sina shaka na elimu yake lakini.....

Uislamu umeingiaje Tena?inaonekana chuki zako dhidi ya uislamu umeamua kuziweka wazi.
You're damn right I've always wanted to get that off my chest

A person of Prof. Lipumba's calibre was not expected to succumb to religious division. Other great leaders preach unity Prof. Lipumba is doing the opposite.

You definitely don't need a degree to make a good president. Look at Zuma! You just need organizational skills
 
Tukiacha unazi na itikadi zetu kando ,Prof.Lipumba ni balaa umuhimu wake kwetu kwa nchi yetu hauonekane kwa sababu hawamtumii ila kwa wanaojua kumtmia WAMEONA ADVANTAGE yake.
Infact namkubali, huwezi kuteuliwa na UN kuongoza wachumi kama ni mweupe kihivyo kama baadhi yenu unavyoropoka.JIONGEZENI
 
Umefanya vizuri kulizungumzia hilo. Mimi mwenyewe ni muislam lakini siwezi kuruhusu hawa watu watumie gia ya uislam kupata kura zetu

Prof Lipumba haongei na wananchi mpaka nyakati za uchaguzi tu!


He! Mambo ya uislamu yametokea wapi tena jamani?Mbona mleta mada hajaulizia dini ya mtu?
 
Huyu jamaa ni mweupe kinyama yaani. Hata sijui kwanini watu wanammegea maujiko yasiyo na kichwa wala mguu. Huyu jamaa kuna siku nilikutana naye kwenye harusi ya dadangu Arusha. Basi nikamuuliza je ukipata urais utafanya nini cha kwanza. Hayo majibu aliyinipa nikabaki naduwaa tu kama kweli huyu ni Profesa au Konjesta. Jamaa kichwa cheupe tu huyo mbona
Ukiondoa itikadi pembeni Economic theories za prof. Kama zingekuwa implemented tungekuwa mbali tatizo ni VIONGOZI wetu tulionao na nature za type zenu za kumdharau usiyemfahamu
 
Tatizo nililo observe so far la watanzania, wanapokuwa wanamchambua mada huwa hawawezi (i cant put it bt with the example labda mtaelewa)

Mfano kuna watu wanamkubaliiiiii Kikwete (for their reasons) huwambii kitu watamtetea kwa kila kitu wakimanalyse they will only analyse him on a narrow aspects mostly mazuri without kumevalute on all aspects na kutoa wasifu wake kwa jumla based on both +ve and -ve. Kikwete kafanya mazuri mengi tu but kafanya mabaya mengii tu kuzidi mazuri so overall he is a failure as a leader.

Same applies to Prof he might be the Eintein of Economics in Tanzania na one of the best in the world bt overall he a failure Leader. Ameshindwa kuki lead chama chake vizuri kiasi kwamba kili kuwa na majority opposition MPs nw kimekuwa cha Tatu. 2005 he was the runner up presidential candidate 2010 kawa wa tatu tena kwa margin kubwa.
Kwa mjumuisho, Prof Lipumba is best economist there is in Tanzania, his recognition is beyond Tz boundaries, to the extent that we Tanzanians ought to be proud to be able to produce such an outstanding economist.

Bt as a Politiician i think he is so avarage, he hasnt proven enough, to the extent that he is dragging down the Party. CUF might loose ts remaining popularity under his leadership and the fact he has failed to see if not accept that ameloose touch na Politics za Tanzania will lead aeondoke kwa fedheha(mwisho vijana waandamane kumtoa kwenye uwenyekiti wa chama kama walivyomfanyia Hamad)
Kumbuka politics is not about being Intelligent Ts being SMART, ndo mana Kikwete alishinda uchaguzi ndani ya chama wakati there were very intelligent and world class candidates such Dr Salim A Salim.
 
huyu jamaa sijui anafanya kitu gani........ anajitafutia umaarufu tu hakuna anacho saidia jamii yake,,,,,,,,, sio lazima awe serekalini ndo ajenge uchumi wa watu wake kwanza hapo cuf amesaidiaje uchumi wa chama.........cz mtu huanzia kwake kwanza...........kijijini kwao wanatambua mchango wake au yupo town tu anauza nyago.........
 
Tukiachana na itikadi, ukweli Prof. Lipumba ni mchumi mzuri sana. Anao uwezo wa kuelezea na kuutafsiri uchumi hata katika ngazi ya mwanakijiji ambaye hakuwahi kuingia hata darasani. Hotuba yake ya Jangwani iliyopita inathibitisha hili. Kwa nini hajasaidia Tanzania? Hilo ni tatizo letu la ubinafsi, isitoshe waenga walisema penye miti hakuna wajenzi, waliotambua umuhimu wake wamemtumia vema.

Hoja ya kuinua uchumi wa chama sioni kama ina mashiko. CUF ni chama cha kisiasa hivyo mapato mengi yanatokana na idadi na nguvu ya wanachama. Hata angekuwa nani, kama chama kina idadi ndogo wa wanachama, ruzuku kidogo kutoka serikalini usitegemee maajabu.
 
Anaganga njaa tu ila hana mchango wowote ktk hili taifa kama ilivyo kwa maprofesa wengine wa hapa tz. Pia ana sign za udini kwa mfana alikuwa ni mmoja aliyemchangia ponda ili aendeshe kampen kwa waislam kususia sensa
hivi mtu awena sifa zauudini anatkiwa awe vipi? mbona wewe luteyaga ni mdini pia?
 
napenda kufahamu nini uprofessor wa mh lipumba ibrahim maaake sijawahi kusikia anafanya nini na taaluma yake hii je?ana ushauri gani kwa serikali ya bongo??
nataka tu kuelewa simsemi vibaaya ni proffesor wa ukweli namkubali lakini nataka kufahamu nini anafanya ukiondoa uenyekiti wa cafu.

Ahsanteni hope to get good answers from you the great thinkers

una umri gani?
 
Sultan Prof I Lipumba, hivi ana umri gani, mgombea urais kwa ticket ya cuf 2015-2025-nakuendelea....
 
kuna msanii flani alishawahi kusema maneno ya kwamba "dunia ya mungu,mali za mzungu,mwafrika yake majungu" na haya maneno cku ya kwanza kuyaskia nlidhan kama vile jamaa anatuponda waafrika wenzie ila mara baada ya kujiunga na JF nimeprove hili.kaz za wasanii km hawa ndio zintakiwa nchin kwetu.
 
Tangu baada ya 2010...naona JF imeingiliwa na GREAT STINKERS!!!

JF hakuna tena mijadala ya issues zaidi ya ushabiki uchwara, majungu na fitina.....SHAME!
 
Siasa ni ugonjwa kuna wengine wamesahau mpaka majukumu kiasi kwamba akiulizwa kazi yake anajaza ni Mwanasiasa
 
Sioni tofauti ya swali lako la kipuuzi na wanalouliza udj wa mwenyekiti wa cdm na madangulo yake wamesaidiaje nchi hii
Au wanao hoji Udr wa kanoni za kanisa wa Slaa utalisaidiaje taifa hili.........kwangu mimi wote ni wapuuzi
 
Lakini anaweza kutumia advantage ya kushare serikali kule Zanzibar, akaingia kwenye system na kuonyesha mchango wake. May be amejisahau sana na kuridhika na misifa ya kushauri Uchumi nje ya Tanzania, SIJAJUA SANA.

Hapo ndipo utawajuwa wazanzibar walivyo na akili ya kivyao.Lipumba pamoja na dini yakee kama ya hawa jamaa,pamoja na kuwa ni mwanachama wa chama chao+chama mume wao CCM bado anaonekana hajafikia kukaa meza ya Mamwinyi.Hawa jamaa ni mabomu kwelikweli wao na Mtatiro.Miili Mikubwa ila sauti zao hazina staha,papara zao hadi mimate inawatoka katika majukwaa kunaonyesha sana uwezo wao kifikra ulivyo na matatiozo.Ndio maana hawajaweza fanya chaguo na maamuzi sahihi ktk siasa,chama kiwafaacho etc.
 
Back
Top Bottom