Napenda kufahamu nini Uprofessor wa Mh Lipumba Ibrahim maaake sijawahi kusikia anafanya nini na taaluma yake hii Je?ana ushauri gani kwa serikali ya Bongo??
Nataka tu kuelewa simsemi vibaaya ni Proffesor wa ukweli namkubali lakini nataka kufahamu nini anafanya ukiondoa Uenyekiti wa Cafu.
Ahsanteni hope to get good answers from you The great thinkers
Nataka tu kuelewa simsemi vibaaya ni Proffesor wa ukweli namkubali lakini nataka kufahamu nini anafanya ukiondoa Uenyekiti wa Cafu.
Ahsanteni hope to get good answers from you The great thinkers