Kweli kabisaJitu lichepukaji, halikuthamini, wewe sio priority kwako, hajawahi hata kukununulia zawadi, hawajawi hata kukutoa out, kukujulia hali hata kwa sms mpaka kuwepo na tatizo ndo apige simu, na ujinga ujinga mwingine.
Hiyo hamu ya kubilingita utatoa wapi? Mapenzi ni hisia tofauti na hapo kila mtu abaki na chake.
Utoaji wa zawadi ni MfumoJitu lichepukaji, halikuthamini, wewe sio priority kwako, hajawahi hata kukununulia zawadi, hajawahi hata kukutoa out, kukujulia hali hata kwa sms mpaka kuwepo na tatizo ndo apige simu, na ujinga ujinga mwingine.
Hiyo hamu ya kubilingita utatoa wapi? Mapenzi ni hisia tofauti na hapo kila mtu abaki na chake.
Khaah mbona hapo namba 2 & 7 ndo umenichanganya kabisa sasa!!1.Kutompenda mwanaume/kutokuwa na hisia naye
2.Mwanaume anayefanya sana mapenzi mpaka papuchi inakauka ladha yote inaisha unaanza kuchukia mapenzi
3.Kujihusisha na usagaji
4.Kujichua
5.Maandalizi mabovu ya mwanaume
6.kuwa na magonjwa ya ngono UTI
7.kukutana na maumbile makubwa ya mwanaume yanayoumizaa.
Hahahahah hatuelewekiKhaah mbona hapo namba 2 & 7 ndo umenichanganya kabisa sasa!!
Mnaokataaga vibamia si nyie nyie, mnaosema hatuna pumzi si nyie nyie
NB: bora tu niendelee kuamini conclusion yangu kuwa "matamanio ya mwanamke ni nature (asili yake) na ni endless, akitamani hiki akakipata bado tu haridhiki, atatamani kingine na kingine...and the continuity goes on and on!!
Hahaaa yaan nyie aiseee, ngoja tu nibaki na conclusion yanguHahahahah hatueleweki